min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kabisa mkuu bhangi imepewa jina baya makusudi tu , yani mapombe yameruhusiwa eti ila bhngi imekatazwa loooooh.Halafu watu wengi tu smart wanapuliza bhangi. Ila ukiwaona kwenye biashara na makampuni huwezi kuamini
Tatizo watu wengi wanachukulia bhangi ni kama ya watu flani arosto na wakati ukiwakuta watu concious sanaa wengi tu wanavuta