Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Siku ukijaribu utashangaa matokeo.Nitazingatia yote ya juu uliyonishauri hapo kwenye bangi ntachanganyikiwa 😅😅😅 sijawai. Mtoto wa kike anavuta bangi jamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukijaribu utashangaa matokeo.Nitazingatia yote ya juu uliyonishauri hapo kwenye bangi ntachanganyikiwa 😅😅😅 sijawai. Mtoto wa kike anavuta bangi jamani?
Asante kaka kwa ushauri mzuri
DuhKuna muda unasoma na kuelewa na kunaa muda unakariri huku unaelewa unachokariri
Ninao mimi!!Nataka mnara jamani
Jenga utamaduni wa kusoma everyday, and you will succeed. But soma at your own pace.Habari!
Naomba kufahamu mbinu za usomaji mzuri ili mtu aweze kufaulu vizuri mitihani yake na kufanikiwa kupanda ngazi nyingine.
Nitawashukuru sana.
Huo ni fursa jitahidi uupate!Huo haufai kuweka kwenye CV 😅😅😅😅😅
Upo level gani?Habari!
Naomba kufahamu mbinu za usomaji mzuri ili mtu aweze kufaulu vizuri mitihani yake na kufanikiwa kupanda ngazi nyingine.
Nitawashukuru sana.