Hivi huwa mnasomaje ili kufaulu Mitihani?

Hivi huwa mnasomaje ili kufaulu Mitihani?

Hiyo wanayovuta wahuni sio bhange ni makushabu mkuu😁😁😁
Ahhhh kumbe zina levels, Mimi huwa najua tu kuna makwasukwasu yanayolimwa karibu na mijini, wenyewe wanasema haina stimu kama zile zinazozalishwa pori

Ila bro, ukigumia sehemu watu wanasokota na kupanga kete. Inahitaji uelewa mkubwa kutoona bhangi inawaharibu 😁😁😁
 
Ahhhh kumbe zina levels, Mimi huwa najua tu kuna makwasukwasu yanayolimwa karibu na mijini, wenyewe wanasema haina stimu kama zile zinazozalishwa pori

Ila bro, ukigumia sehemu watu wanasokota na kupanga kete. Inahitaji uelewa mkubwa kutoona bhangi inawaharibu 😁😁😁
Mkuu hiyo mambo zipo za aina nyingi na kwa matumizi tofauti , mfano kuna cannabis caviar, kg 1 inafika mpaka dollars 1700
 
Hakuna short-cut, hapo ni kusoma kila ulichooewa darasani , kulingana na course module. Soma kila kitu, ukielewe na ukishike na ukikariri
 
Chuo kikuu
Ushauri wangu unaanzia hapa Fanya tathmini ya kuwa vitu ganii vinakukwamisha au kukupotezea Muda mfano TV,marafiki wambeya n.k mara moja unawakacha,Pia jitathimini ww ni Mtu ambae unasomaje utaelewa Sana ...Na mwisho utachaguwa mbinu pendwa za Kati ya hizi
•√Kuwa na discussion groups katika usomaji wako,
•Kuzingatia Yale mwalimu anayofundisha hata kama ukiwa off class au off mood,tenga Muda kwa siku WA private study labdah masaa mawili/ moja na nusu n.k kulingana na pumzi yako,
•Kuwa na utaratibu WA kufanya mazoezi (Pitia mapast papers,maswali mtandaoni n.k),
•Usipoelewa kitu tafuta WA kukueleza awe mtu /tutorial you tube ,Watu waliokuzidi level
•Kuwa na target za MDA mrefu ,MDA WA Kati na MDA mfupi hizo zinakuwa kama kipimo chako katika kusema mfano MDA mrefu sitaki C ,MDA WA Kati niwe nimemaliza topic kadhaa kwa kipindi fulani
•Shirikiana na Watu pia,by having strong circle ya study hawa watakuhamasisha Tu usome
Mwisho na la Kuzingatia ni Anza na maliza yote na Mungu ,unaweza kuwa unaona Giza ila mwombe Mungu afungue njia utatoboa
 
While you're in mitandaonis and you want success ? Wacha wewe.

Soma, huku tuachie wastaafu na watumishi wa huko kwa Mheshimiwa.
Ushauri wangu unaanzia hapa Fanya tathmini ya kuwa vitu ganii vinakukwamisha au kukupotezea Muda mfano TV,marafiki wambeya n.k mara moja unawakacha,Pia jitathimini ww ni Mtu ambae unasomaje utaelewa Sana ...Na mwisho utachaguwa mbinu pendwa za Kati ya hizi
•√Kuwa na discussion groups katika usomaji wako,
•Kuzingatia Yale mwalimu anayofundisha hata kama ukiwa off class au off mood,tenga Muda kwa siku WA private study labdah masaa mawili/ moja na nusu n.k kulingana na pumzi yako,
•Kuwa na utaratibu WA kufanya mazoezi (Pitia mapast papers,maswali mtandaoni n.k),
•Usipoelewa kitu tafuta WA kukueleza awe mtu /tutorial you tube ,Watu waliokuzidi level
•Kuwa na target za MDA mrefu ,MDA WA Kati na MDA mfupi hizo zinakuwa kama kipimo chako katika kusema mfano MDA mrefu sitaki C ,MDA WA Kati niwe nimemaliza topic kadhaa kwa kipindi fulani
•Shirikiana na Watu pia,by having strong circle ya study hawa watakuhamasisha Tu usome
Mwisho na la Kuzingatia ni Anza na maliza yote na Mungu ,unaweza kuwa unaona Giza ila mwombe Mungu afungue njia utatoboa
Shukrani sana Mundele umenipa ushauri mzuri sana nitauzingatia na kuleta mrejesho hapa
 
Level ya chuo kikuu ndio rahisi kuliko Ordinary Level na A-Level. Sikuwa mzuri wa kukariri hivyo ile style ya kusoma miaka minne halafu ukumbuke mambo yote kwa siku moja ilikuwa ngumu kwangu🤣! NECTA waliofaulu ni wale wenye cramming capacity ya hali ya juu. The most gifted.

I would consider chuo kikuu as the best level in academics. Kimsingi ni mahali ambapo shule ilikuwa nyepesi sana. Imagine vitu mnasoma vya miezi minne tu kisha mnaachana navyo. Haukuti mwaka wa tatu kuulizwa mambo ya mwaka wa kwanza.

Ningekuwa raisi ningeweka mtaala toka primary watu wasome kila darasa kivyake. Yani ukimaliza ya form one unaachana nayo for good.
😂gombea nitakupa kura yangu
 
Kwa upande wangu nafanya vitu gani ili niweze kuelewa na kufanya vizuri kwenye mitihani ya chuo na kupata daraja kuanzia B+
Kuelewa mitihani inatoka wapi (hapa nitakuwa najua nasomaje kulingana na somo lilivyo)
kwa masomo yenye hesabu nafanya hesabu zake mara kwa mara na natafuta maswali mengine kwa kutumia app kama Chatgpt
Nasoma vitabu vya ziada au vyenye maelezo mazuri na simple sometimes naungamisha vitabu hata 3 kupata idea ili nielewe
Kama kitu sielewi na nimejaribu nashindwa na ni cha muhimu NAKARIRI
Namsikiliza mwalimu kwa umakini wao hutaja sehemu ambazo huenda wakazitoa kwenye mtihani
Nasoma nikiwa peke angu na kukiwa na utulivu na natumia mda mrefu
Nasoma kwa kurudiarudia
Siamini katika discussion kwa akili yangu ila nikiwa namuelekeza mtu namaster kike kitu vizuri (nakushauri usome kwa discussion)
Fqnya mtihani kwa umakini na tumia akili nyingi bila kusahau kuelewa swali vizuri kabla ya kulijibu
kitu ambacho una uhakika 100% kitatoka kwenye mtihani na kina alama zaidi ya 10 soma sana ukishindwa ingia nacho (MKEKA)
Usiige style ya usomaji wa mtu jitahidi tengeneza style yako ambayo una uhakika itakufaulisha
Jitenge au punguza suala la mahusiano unaweza kutumia more than 4 days uko na mchumba ndani zote hizo hujasoma ni hatari kwa usalama wa ufaulu wako
 
Back
Top Bottom