Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitabirie na mimi jamani 😅Binafsi kama siwezi kukariri NI mwendo wa kuelewa Tu.Na nilikuwa silazimishi kujisomea kichwa kikitaka kusoma,Nasoma hakitaki naachana nacho..Then Tangia form one Hadi namaliza chuo university sijawahi Fail na nilikuwa najulikana Kwa watu wangu wa Karibu kama mtabiri yaani sijawahi kosea kutabiri Swali🤣
Asante kwa ushauri mzuri. Nitaufanyia kazi.Jitahidi sana kusoma sehemu yenye utulivu usio na mwingiliano wa watoto au kelele za magari au bodaboda, group discussion zina umuhimu wake ingawa ukimaliza kaa mwenyewe ukiwa na nguvu pitia yale uliyofundishwa huku ukifanya reference za past papers na vitabu ujue mfumo wa maswali inavyokuwa hawa kwa vile vitu unavyosomea.
Maana kuna muda unaweza kusomasoma bila malengo ukapishana na maswali, haitakusaidia, maana lengo ni kufaulu.
Jitahidi sana kusoma vitu vinavyoulizwa kwenye mitihani. Naamini itakusaidia
Ndio ili nielewe vizuriAu nizielezee kwa kiswahili
View attachment 3209772
Mabibo Hostel, Block E. 😎Wapi huko nije chap 😅
Unasoma la ngapi...?Ndio ili nielewe vizuri
In fact me nilikuwa Nasoma na narelax pia so akili haichoki.Na huko kutabiri ilikuwa ukiniuliza natumia kigezo Gani hata Sijui yaani just akili yangu itakavyonituma at that time ndio hivyooNitabirie na mimi jamani 😅
Kwani unasoma Course Gani?Sawa.
Mbona kila nikisoma vinafutika 😅
Hii njia nzuri sana 😅😅😅 wacha niizingatie kabisa hasa hapo kwenye kupoteza mamilioni ya PesaPunguza stress ni adui wa masomo. Yaani wekeza akili pale kwenye somo husika bebesha mzigo kama kwamba ukiteleza kidogo tu unapoteza mamilioni weee kila kitu kitajazana kichwani😂😂😂😂