Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Weka umakini wako wote katika unachosoma kwa wakati huo, ikitokea mawazo yakahama kwenda kwenye kitu kingine, weka alama upande wa kulia wa hiyo page unayoisoma.
Kila mawazo yako yakihama unaweka alama, pia jitahidi kuelewa unachokisoma, pia free time jitahidi kusoma vitabu(hardcopy), kitabu chochote hata kama cha mwamposa wewe soma.
Kama ni kichwa ngumu, vita bangi halafu nenda kasome, utajikuta kila kitu unakielewa(I'm serious)
Kila mawazo yako yakihama unaweka alama, pia jitahidi kuelewa unachokisoma, pia free time jitahidi kusoma vitabu(hardcopy), kitabu chochote hata kama cha mwamposa wewe soma.
Kama ni kichwa ngumu, vita bangi halafu nenda kasome, utajikuta kila kitu unakielewa(I'm serious)