implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Usisome kwa ajili yakufaulu mitihani,bali soma kwa ajili yakuelewa unachosoma, utatoboa utakavyo.Habari!
Naomba kufahamu mbinu za usomaji mzuri ili mtu aweze kufaulu vizuri mitihani yake na kufanikiwa kupanda ngazi nyingine.
Nitawashukuru sana.