implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Usisome kwa ajili yakufaulu mitihani,bali soma kwa ajili yakuelewa unachosoma, utatoboa utakavyo.Habari!
Naomba kufahamu mbinu za usomaji mzuri ili mtu aweze kufaulu vizuri mitihani yake na kufanikiwa kupanda ngazi nyingine.
Nitawashukuru sana.
Iko ndo kitu tunakimisi waafrika wengi,uenda huyo jamaa alikuwa na mashinikizo nyuma yake,alikuwq anafanya ambacho hajakipenda toka moyoni,bali anafanya kwa kutii shinikizo toka mahala,hivyo alipaswa kuelekezwa kwa kuojiwa kujua kipi anapenda,lkn hiyo yafaa ijulikane tangu uko awali (kindergarten),hapo ndipo walioendelea utuzidi sana tu,mifumo yetu ya elimu yafaa kubadilika sana tu,kwenda huko.Usinikumbushe mkaka mmoja olevel alikua na bidii vibaya mnooo
Kwenye makosa ya kuchelewa kukusanya kazi humkuti, kukimbia vipindi humkuti
Muda wote anasoma, anamuuliza mwalimu maswali ila matokeo yakija yeye ni wa mwisho.
Ubaya tulikua na mitihani kila wiki na kila wiki lazima achapwe.
Ilifika kipindi walimu wakawa hawamchapi tena sababu wanaona juhudi zake ila ndo hivyo kitabu kinamkataa.
Kiongozi elezea kuhusu ushirikina ka kucheza na nyota za watu.Juhudi na kipaji, ila kuna kaushirikina ka kucheza na nyota za watu.
Mpaka umri huo bado unauliza swali kama hili?Habari!
Naomba kufahamu mbinu za usomaji mzuri ili mtu aweze kufaulu vizuri mitihani yake na kufanikiwa kupanda ngazi nyingine.
Nitawashukuru sana.