Mimi nitakuwa wa kwanza nilichoandika kiko very precise na nimejirishisha nacho na kiko wazi na rahisi..kwa kiasi kikubwa ninachojaribu kufanya ni ule utumwa wa kutegemea mabandiko ya kizungu na ndio maana wengi huku ukiandika kitu utaombwa chanzo hata kama muda mwingine chanzo ni wewe mwenyewe
Tumesoma ili tuwe na fikra huru na si fikra za kutegemea na kuamini vya wengine
Mshana jr.
Unapotosha watu. Kama umefanya itakuwa unique!! Yaani wewe ukae uandike research? Well, umeshindwa kunielewa hata maana ya ecological validity.
Well, research ZOTE huwa zina huu utaratibu. Tuonyeshe wewe zako zilikuwaje?
1. Research method
2. Research design
-Sampling methods
3. Independent Variables
4. Dependent Variables
5. Your research hypothesis
6. Extraneous variables
7. Reliability na Validity (internal na external)
7. Outcome ndio hiyo explanation yako lkn hujaweka Statement nini hasa ulipata.
Mkuu tumwagie data zako ulizotumia.
Kuhusu wazungu unalalamika sikuelewi. Maana we can't do without them. Kuanzia dawa zetu za hospital, hadi equipment MRI, CT scan ni wazungu. System ya elimu, vitabu vyetu ktk elimu ya juu wazungu. Usipotoshe umma wachukie wazungu wakati viongozi wetu wana advocate kiswahili kitumike chuo kikuu wakati watoto wao hadi waziri wetu wa Mazingira amesomea kwa wazungu. Just be open minded.