Hivi huwa unajibuje akikwambia ''I love you'' mbele ya wazazi wako?

Hivi huwa unajibuje akikwambia ''I love you'' mbele ya wazazi wako?

Kwani lipi baya, sina nidhamu ya woga, mwanaume unakuaje na nidhamu ya woga...namjibu vizuri kabisa

Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
 
Kwanza sijawahi kuongea na mwanamke mbele ya mzazi wangu kama tunapiga story za kawaida bebe akinipigia simu huwa nasepa naenda kutafuta space lakini kama tupo on serious matter huwa sipokei simu na baada ya simu ikiita mpka kukata huwa nametxt bebe nipo mazingira gani that why sijapokea simu yake na ishu zikiisha nampigia maisha yanaendelea. Ila kama ni mke wangu nitajibu tena kwa kiswahili nakupenda pia mke wangu!
 
kwa familia zetu hiz ni balaa;kuna siku naambiwa hvy nikazuuuga weeee,na ww pia
manzi kafura aahh niambie uko na nan mpk unashindwa kuongea?,uko kwa dem wako eehh???
Hahahah mzee uliuepuka vp huo msala? Au ulikata simu
 
Kama nipo na mama hakuna shida..
Maana hata yy hua ananotafutia madem, Ila nikiwa na kubwa la maadui Dingi/Mzee/Gadafi/General Lazima nitoke ndukii
Hahaha sasa si ndo inabidi uoneshe urijali wako mbele ya mdingi ili ajue kwamba amezaa jemedari
 
Hahaha sasa si ndo inabidi uoneshe urijali wako mbele ya mdingi ili ajue kwamba amezaa jemedari
Kwa kipindi hiki sawa lakini zamani hapo ingekua shida aiseee..
Alikua ananichunga kuliko hata dada zangu..
 
Back
Top Bottom