Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa na kuuliza kama Mbu anaambukiza HIV, lolDuuh, mwili unasisimka na je husababishwa na nini hasa, naskia ni uchafu ? Na hizo damu hivi hawezi kuambukiza magonjwa (HIV) huyu mdudu? Maana ni Nyingi ?, wenye uelewa hapa
Hamna namna kivipi na dawa zipo madukani tele, unatakiwa uwe unafanya fumigation kila baada ya miezi 6.Sasa utafanyaje wakati kabisa hamna namna[emoji21][emoji21][emoji21]
Hapana akiwa anafyonza damu usikii ila akimaliza ndo unaanza kujikuna ata Kama ulikua usingizini utaamka kwa muwasho uleMzee ni hatari! Harafu akiwa anafyoza damu lazima usikie tu.
[emoji3] [emoji3] pia ni wanataga mayai kwa kasi Sana ebu ngoja nisiendelee kuchangia topic Mana mwili unasisimka nahis Kama bado wapo kwenye boxer yanguwananuka cjui harufu gani, yaan harufu ya kipekee pekeee![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
The life span of a bedbug most commonly ranges from four to six months. Some bedbugs may live for years and can go months without feeding.yaan nakumbuka nilikiwa nafanya juu chini nisilare ndani ili wafwe njaaa kumbe ndio kwanza wanatunza maumivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku ya kulala nachezeshwa show kama ile ya TP mazembe kwa simba..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hawa wadudu bhna huwa hawafi njaa hata wakae miez 2 au 3 ukirudi show yake unakuta mpaka walisha zaa hulale usikuyaan nakumbuka nilikiwa nafanya juu chini nisilare ndani ili wafwe njaaa kumbe ndio kwanza wanatunza maumivu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku ya kulala nachezeshwa show kama ile ya TP mazembe kwa simba..
Niliwahi skia wanaambukiza ukimwi ktk kiwango kidogo sanaa...sio uchafu kunguni ni wadadu tu Mimi mwenyewe nilizani ni uchafu lakini niliwakuta sehemu jamani mpk nilishangaa nyumba nzuri balaa....Duuh, mwili unasisimka na je husababishwa na nini hasa, naskia ni uchafu ? Na hizo damu hivi hawezi kuambukiza magonjwa (HIV) huyu mdudu? Maana ni Nyingi ?, wenye uelewa hapa
Wananuka hao hatari!mwaka2017 nilimaliza mwezi mzima sijalala ktk kitanda changu, siku ya kulala nakumbuka niliamka na mapele si ya nchi hii.. kwa kweli sitamani tena hawa wadudu wanirudie..!View attachment 1085093View attachment 1085094View attachment 1085095
Usiombe wakwingie ndani mwako!Niliwahi skia wanaambukiza ukimwi ktk kiwango kidogo sanaa...sio uchafu kunguni ni wadadu tu Mimi mwenyewe nilizani ni uchafu lakini niliwakuta sehemu jamani mpk nilishangaa nyumba nzuri balaa....
Mara nyingine lakini mrundikano wa vitu, haswaa maeneno ya uswazi ndo wamejaa kibao!!!
Acha kabisaa...hawa kamoja tu unahama na bukuHawaambukizi(HIV) sio lazima uchafu unaweza kukaa na mtu karibu akakupatia kamoja shughuli inaanzia hapo
Hawa wadudu nyumbani tulipangisha mtu alikuja na mbegu daah!sisahau aseehh!!tukawa jina na alshababi!!nilikua navimba mwili mzimaa...!!!Usiombe wakwingie ndani mwako!
Hao wadudu ni wabishi kufaAcha kabisaa...hawa kamoja tu unahama na buku