Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Mwenyewe nimedoubt sana, nadhani anataka talaka tu.
Kilewo sio mpmbavu kiasi cha kutelekeza familia
 
Nakubali aisee..mimi ni mchaga ila hawa dada zetu hapana.
Kuna dada wa kichaga nilikua nioe alininyoosha mnyoosho mmoja sina hamu naoo aiseee...
Saivi namnyemelea muiraki
KAribu sana Mbulu, Dongobesh, Tumati, Daudi usisite kuwasiliana na mimi!
 
Nyooooooo......

Akalishe makalio mwenzie atafute halafu amuachie kirahisi

Huo ni wizi wa kuaminika

Na dume zima kung'ang'ania akaunti ya mwanamke ni upuuzi.....ila wanaume wa miaka hii ni matatizo

Unaanzaje kulishwa na mkeo?(ilhali huna tatizo lolote) na chakula anakula kinashuka hajui kilipotoka....

Akaunti anazui hajui hata pesa zikupotafutwa kisa tu mkewe alimwamini akamfanya kuwa signatory????

Na yeye kilewo alivyoficha akaunti zake ni sawa?

Pamoja na matatizo ya joyce lakini Ubinafsi na uslope wa mwanaume umechangia matatizo katika hii ndoa

Halafu huko aliko yupp comfortable hajui hata wanae wanaishie...mfyuuuu
 
Ni biashara zipi alizozikalia naomba unielimishe hapa nashindwa kuelewa.
Duh..kama umesoma vizuri ukaelewa ni kwamba Jamaa kawekwa kama partner kwenye biashara ya mwanamke ingawa ana zake..akaunti wanasaini wote ili watoe pesa..Jamaa kapotea, kaacha familia..mwanamke hawezi kutoa pesa bila Jamaa..kama anataka kuondoka ajitoe kuwa signatory ili mama aendelee na kulea familia..akili za viongozi wa chadema zina shida hasa unapokuja kwenye masuala ya familia..
Tundulissu hakuwa na mahusiano mazuri na mkewe kabla hajavunjwa kiuno, mbowe na mkewe Dr Lilian mtei nao ni shida hadi zitto aliwahi kumchana hadharani, haya mwingine huyo, kina sugu hata hawaeleweki nae na mzazi mwenzie walishaachana..lema baada ya kutikiswa sana kisiasa ndio kaamua kutulia na mkewe..
 
Sasa huyu Kileo amepata wapi wakati tumeambiwa yeye ni marioo hana lolote?

Hivi huwa mnashirikisha ubongo wenu kabla hamjarishwa taarifa za kusadikika?

Ni kwa nini haendi mahakamani? Umeshajipa muda wa kujiuliza swali hili?

Kwa sababu kimsingi hapo hakuna ndoa tena, ile misingi inayofanya watu muwe wanandoa ikifa na ndoa imekufa, je ni kwa nini Joyce haendi mahakamani?

Huu ujinga wake anajuwa kuna wajinga wenzake humu mitandaoni ndio mtamuelewa lakini siyo kwenye court of law.
 
bado na stick na 90% ya wanaume waliojibu upupu wako katika troubled relationship.
MWANAUME RIJALI MWENYE AKILI TIMAMU NARUDIA TENA MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KUSAPOTI HILI SWALA LA JOYCE
 
Hiy

Hiyo ni old fashion wengine hatuendekezi huu ujinga hutaki kuchangangia akae nyumbani alee watoto


Ukienda kwa hoja hii kua mwanamke achangie gharama za nyumbani utaishia ugomvi tu....

Wanaume tumeumbiwa mizigo,hua tunabeba bila kuongea kitu,ndio uanaume!

Hii concept ya kumtega mke eti aanze kuchangia 50% ya nyumba unakaribisha maneno...atatoa 10% ila ataongea nchi nzima wajue anahudumia familia 100% mwanaume uonekane kiazi tu.Unawajua wanawake mkuu au unawasikia?

Hizi propaganda za Joyce unaziona za nini?Wanawake waache kabisa,sio wenzetu kiivyo unavyodhani mzee!

Acha kabisa!
 
Nimeanza na kusema 'huyu mwanamke anakosea'.......sasa hapa ndio inabidi mwanaume aoneshe tofauti yake na huyu mwanamke. Wagawane mali gani na huyo alikuwa analelewa tu. Mali za huyo dada mropokaji. Ukikubali kulelewa kuwa mpole.
Biashara zilianzishwa kwa majina yao mawili wakati wako kwenye ndoa.

Sheria inataka wagawane nusu kwa nusu huku kiasi kikubwa kikitengwa kwa watoto.

Hapa hela za benki, viwanja vya nyumba, na miradi mingine?
NUSU bin NUSU.

Hivi ndivyo wanavyofanyiwa wanaume sasa afanyiwe Joyce nae. Mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu, eh?

Mali za huyu mama zitapona tu kama Kilewo alisaini PRENUPTUAL AGREEMENT. Lakini yule mama alivyompenda Kilewo wakati anaolewa sidhani kama alikumbuka hilo la prenap.
 
Ila Joyce bwana nawe hueleweki kipindi alikuwa anagombea ubunge ulikuwa unaropoka mitandaoni unaonekana kabisa pesa mbele angeshinda ubunge sijui kama yangetokea haya. By the way pole sana kwa yanayoendelea kukupata huenda ndio kidogo unapunguza stress yatoe yote usijekupata stroke bure
 
Pande mbili

[HASHTAG]#WANAUME[/HASHTAG]
Anayosema ni kweli na ni aibu kwa wanaume!!
[HASHTAG]#WANAWAKE[/HASHTAG]
Anavyoropoka kjwenye public ni aibu kwa wanawake!!
 
Jocye kaaa kimya weka hakiba ya maneno,Kileo amekaa kimya sababu anajua wewe ni mama wa watoto wake,anakujali sana ndio maana amekaa kimya embu na wewe kaa kimya yamalizeni haya ndani ya familia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…