Ndio maana kumbeeeee! Nilihisi kitu kama hicho. Pumbavu kabisaNmmchaga uyu... Mpuuzi sana yani
Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp statusNdio haya nilianzishia uzi hapa.
MKE WANGU ANANIPIGA VIJEMBE WHATSAPP STATUS
Ila nachohisi ni atakua ameshirikisha ndugu na kafanya juudi zote mwisho akaona amdhalilishe tu.... Japo asingetakiwa kufanya ivo maan bado maisha yanaendeleaNdio maana kumbeeeee! Nilihisi kitu kama hicho. Pumbavu kabisa
Yaaa na mimi nahisi ivoJoyce ametumia kila effort kumrekebisha huyu dogo. Hii ni last weapon Acha ifanye kazi msimlaumu
Tena makubwa haswamakubwa
Au kuolewaBora kukosea kujenga kuliko kukosea kuoa.
Best futa kauli kabla la mtu na tabia huwezi generalize kabisa huyu mmama sijui kapatwa ama kiherehere chake huyo kilewo alimtuma kujipendekeza kuhudumia familia?Halafu bank nao ni wahuni jamani umeenda kufungua joint Acc mkishindwana huwezi reverse mwenyewe mpaka kilewo aje bank naye akubali mnabadilisha namna ya kuendesha acc .Wachaga nao watu basi
Ujinga mtupu binadamu hatabirikiSijui ni kwanini wanawake wakipenda huwa wanapenda mazima [emoji87][emoji87]
Yani unabadili umiliki wa vitu ambavyo Mume amekukuta navyo ? [emoji87][emoji87]
Unataka ukajibebeeKwa hiyo wanaachana lini?