Nataka nami nikafugwe na lisuper womanUnataka ukajibebee
Ndivo ilivyo. kwa watu wa karibu nao wanajua. Tatizo hili jambo makamanda wanachukulia kisiasa mno.Yaaa na mimi nahisi ivo
Inawezekana kabisa Kilewo amefanya mabaya yote anayoyasema Joyce, na pengine mengi zaidi yasiosemwa.Watu wengi wanacomment in one side ya kuona Mwanamke kakosea ila yapaswa kujua chanzo cha ugomvi mpaka Mwanamke kufikia uku..katika ndoa kila MTU ana wajibu wake kwa mwenzake jambo lolote linapotokea
Na wewe unayakubali hayo kweli?watoto huyo kilewo amewatelekeza bila chakula
Naona imekuuma sana. Pole.kaoeni wamakonde mkatiwe viuno kama pangaboi,wachaga this,wachaga that.....mxiewww
Inawezekana kabisa Kilewo amefanya mabaya yote anayoyasema Joyce, na pengine mengi zaidi yasiosemwa.
Basi ndio Joyce aje ayaanike Insta? Kweli?
Hapo ndio utaamini IQ za Watanzania ziko chini sana ndio maana ccm inawapiga fix inavyotaka.Na wewe unayakubali hayo kweli?
Yaani Joyce, na nafasi yake, umaarufu wake, hawezi hata kukopa kibaba cha mchele cha kuwalisha watoto wake?
Anataka kumhadaa nani hapa?
AU ndo sote tutajifunza kuwatendea wenzetu jinsi tunavyotaka watutendee. Maana miaka yote tumefichiana siri lakini kumbe bado kuna wanaume wanatunzwa mjini hapa na bado wanapiga wake zao!Mwanamke nyoko sana huyu aisee...kama tukiwa tunaanikana mitandaoni hivyo si zitakuwa vurugu
Kama unataka release ya frustration zako au catharsis, basi zungumza na shosti wako au wachache wa karibu nawe. Leo hii hata mimi nisiemjua Joyce na Kilewo nimeingizwa hadi uvungu wa chumbani mwao. This is not right.Biblia Inasema ivi Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa akina baba, Lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.
Nataka uniambie neno wakati wa masihi mwanamke aliyesemakana amezini wakampeleka mbele za watu ili apigwe mawe afe mpaka Yesu kusema asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga mawe. Je ilikuwa ni Busara kufanya jambo ilo mbele za watu au si Busara au busara ilikuwa watu kumalizana ndani wenyewe? Kama ilikuwa si busara kwa nini waliletwa mbele za watu.
Sitopenda kumlaumu mwanamke ila naweza kuwalaumu watu wote walio karibu nao kuwa wako wapi. Kumbuka ata wewe ukikosa msaada kwa watu wa karibu nafsi yako aitulii mpaka upate muafaka wa jambo ambalo unalitafutia muafaka
We subili madawa hayajakukolea bado.Mke wangu ni mchaga but sijaona balaa kama hili.
Hana usuperwoman wowote wa kumfuga mwanaume.Nataka nami nikafugwe na lisuper woman