Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Bora kelele ya m2 unayempnda kuliko kelele 100% kwa watu usiowapnda inaumzaaaa
 
Tatizo ulimbukeni wa maisha! Kama mwanamke inakupasa kua na kifua cha kutunza baahdi ya mambo sio kila kitu uijuze kadamnasi ambayo haitokusaidia zaidi ya kukudharau.

Sent from my SM-T715Y using JamiiForums mobile app
 
Ninyi huwafanya wake wetu kutuona hatuna upendo kwa maigizo yenu ya mitandaoni, LEO MUNGU AMEKUUMBUA???
Ok, anza kuishi KIUALISIA uone raha yake, KARIBU MGENI!!!

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Waliosema kosea kote ila usikosee kwenye suala zima la kuoa,waliona mbali aisee.
 
Jamaa aliingia chaka mbaya, lakini ilibidi ajiulize kwanza kwa nini aliachana na mme wa kwanza!! Mwanamke ropo ropo kama huyu ni hatari kwa ustawi wa ndoa
 
kumbuka huyu ni mkewe na wana watoto. hapo watoto ukute wakirudishwa ada,hakuna chakula home ,umeme umeisha etc usihukumu mkuu? je kuna mume hapo?
Hakuna mke wala mume hapo...yan dada huyo alipokosea ni kuja tu kuyaanika hayo mambo yake..dah wazungu hawa wanatuua katika nyanja yani
 
Huyu mwanamke anakosea kuyaanika haya. Je vipi huyu anaeng'ang'ania mali za familia wakati watoto wanahitaji kuishi?
Kuna wanaume wanaachana na wake zao wanaacha magorofa for the sake of the kids.


Kwa tabia za wasichana wa kichagga na kipare, usikute tayari huyu Joyce analiwa na rafiki wa kamanda na ndiye anayempa hela za mtaji wake. Na pengine kamanda naye kagundua hivi na ndiyo maana anafanya anayoyafanya ili kumkomesha binti.
 
Nimependa pale KAMANDA KOMAA...yani akomae kumyonya bintbwa watu fala kweli huyu kileo na ni bwege kweli tena baradhuli yani mse nge...yani mwana hizaya mavi ya kuku kamanda gani unang'ang'ania vya mwanamke ambacho kinasaidia watt wako
 
Joyce bhana daaah

Akina joyce wote wanalostisha tu mcheki na yule joyce waziri mlostishaji tu

Be carefull na akina joyce

Huyu dada anampenda kileo nasemaje kilewo endelea kukaza kamanda hadi heshjma adabu na utii vije then utaachia au sio

Huyu hawezi kukimbia ni wako tu .halafu we usijibu kitu tulia tulia huo ndio uanaume
 
Jamaa kauzu balaa na mapigo yote ya upande wa pili hajajibu chochote tu?
Na aendelee hivyo hivyo kukausha wala asijibu ni hadhi yake kiume itakapo kuja

Huyu joyce atabweka sana ila atarudi kwenye mstari hana ujanja tena ni nani atakayekubali kuwa nae akiachana na jamaa kwa haya mambo yankauanika mambo.yake ya ndani hadharani.

Ni usichana bado anao akikomaa kiakili atajiona alikuwa mjinga sana.
 
Pole sana mama, hata kujianika mtandaoni inatosha kujua udhaifu uko wapi.
 
Hapo hata akiachika hakuna Mwanaume wa kumuoa....nani aje akubali kuanikwa hivi pindi ikitokea kutoelewana...
 
Dah hakika umeongea vyema sana, na hio anachofanya ni ulimbukeni tu

Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
 
Hamna mke hapo aisee, kwa huo upupu.

Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…