Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

HUYU KILEWO UKIMPIGA KATERERO ATASAHAU YOTE NA KURUDI KUMUOMBA MSAMAHA, TATIZO HAJAKUNWA VIZURI, WAHENGA WALISEMA
"OMUGHAIKORO OMUNAGHI WANSE"
 
Wajinga ndiyo waliwao.

Kwani kamanda kileo kasemaje?
 
Mwanamke ana asili ya kufunguka yale yanayomkereketa moyoni ili nafsi yake iwe huru,pia hulia ili kuiweka nafsi yake huru na maisha huendelea,tusimlaumu sana kwa kufunguka,daima usizuie hisia za mtu pale anapofunguka ya moyoni,labda asaidiwe tu kimawazo maana tayari ana watoto na teyari ndoa imeingiliwa na roho ya ubinafsi,naimani huyu dada ana sababu za msingi za kutaka aendeshe biashara zake mwenyewe,hivyo ni suala tu la kumshauri anzie wapi.
 
Hayatuhusu kabisa. Hizi habari za umbeya pelekeni kule face book na instagram. Hapa si mahala pake hata kidogo. Tumechoka kusoma habari za kipuuzi
 
Huenda ndugu has a wa mume ndo wakumaliza tatzo hili ..na huenda hawampi ushirikiano ...so njia ya kumaliza yanayomkera n kuzungumza public jpo haisaidii ila huenda ata yeye yuko confused
 
This is disgusting..!! How comes, pasi na shaka huyu dada anachanganyikiwa!!
 
Nimeanza na kusema 'huyu mwanamke anakosea'.......sasa hapa ndio inabidi mwanaume aoneshe tofauti yake na huyu mwanamke. Wagawane mali gani na huyo alikuwa analelewa tu. Mali za huyo dada mropokaji. Ukikubali kulelewa kuwa mpole.
Sheria hizi ziko friendly na wanawake ...geuza u pande wa pili jamaa ana mali mwanamke hana wangegawana pasu kwa pasu ila inategemea kuoa wanawake wenye vpato ujipange huenda jamaa ana provide familia kwa kidg alichonacho yy anaona hakitosh ...nshaona kadhia ka hii ..mtu ajipange kuoa wenye vipato
 
Nadhani wachangiaji kidoogo mko biased , maana kiukweli japo binti anamakosa ya kuanika hapa maisha yake lakini pia kama nikweli mheshimiwa amefanya kama anavyodai huyu binti basi kuna tatizo pahala... all in all dini imekosekana hapa
 
Umesikiliza upande wa pili weka mizani ndipo utoe hukumu pengine kaamua tu kumzalilisha mwenza kisa kahama nymbn huyu mwanamke sio wa kuolewa hawezi kutunza siri za nymba anatisha kuliko ukoma huyu
Sasa kama upande wa pili haukanushi au kutoa maelezo sisi public tutaelewa nn ?
 
Feminist n disaster
 
Sasa kama upande wa pili haukanushi au kutoa maelezo sisi public tutaelewa nn ?
Tunapata nafasi ya kufahamu u elewa mdogo wa huyu mke kwenye mambo ya familia yake ni jinsi alivyo jizalilisha badara ya kutafuta suluhu ya tatizo kwa ndugu na marafiki wamsaidie
 
Njoo kwangu
 
Kuna attention anaitafuta, kuna uchochoro kauona.
Uchochoro ni ccm tu, wampe mamilioni ili apande jukwaa la kampeni kinondoni kumchafuwa Kileo na Chadema.

Hivi siasa za kina Chakubanga mnazijuwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…