Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Nadhani siku kilewo nae akiamua kusema ya huyu dada insta itasimama kwa muda....huyu sio mke ni kinyaa!! Umeguswa tu unaona umeoneeeeewa!! Kilewo tafuta mke uoe sio hili bomb,,, ndoa kanisani af mkitibuana linaenda polisi ( biblia na bunduki wapi na wapi)

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Ila binafsi katika hili sakata nimejifunza kitu kimoja tu, kiume pesa na siyo bolo kubwa, hata uwe na Kilemutuz hawa wadudu hawatokusumbuwa utawaenjoy sana, ukiufuatilia huu mgogoro kwa akili tatizo ni pesa tu hakuna lingine.
 
Kwanini mnapenda kusingizia watoto?

Kwani hizo biashara haziingizi tena ela? Au ni biashara ya forex?
uwe unasoma vizuri meaning.......joyce hawez kutoa hela bank mpaka kilewo asain mbuzi mawe wewe
 
Kabisa...na anavyoanika mshkaji ndio anasema ngoja tuone sasa.
 
kupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
Ila kumbuka ...amekuwa mwanamke tu ndio ana-rap since....hatujamsikia Kilewo...so...
 
Huwa sijadili au kutoa hukumu bila kusikiliza pande zote mbili na kujiridhisha... Siku Mr Kilewo akijibu ndo mtapata picha ya tukio halisi.
Joyce Huenda unasema kweli au uongo but hatuwezi kunisaidia mama na sifikirii kama wewe ndo uko perfect kwa kila kitu maana Sijaona mapungufu yako ukiyaelezea zaidi ya Wewe kukaidi Amri ya mumeo ya kutulia ndani ukaamua kwenda outing bila mumeo... Elezea black and white ili tujue.
NB : sikuhukumu wala sikuungi mkono..
 
Sijui ni kwa nini Kileo alichukua mwanamke aliyekuwa ameachwa na mume. Hayo ndiyo madhara. Hata hivyo huyu mwanamke hana malezi mema kutoka kwa wazazi wake. Utadhani alikulia mitaani. Aibu kwa wazazi wake. Kileo rudisha mke wa mtu kwa mumewe.
 
Wewe ni zuzu. Swla la ndoa humalizwa kifamilia sio kimtandao. Ni kama umejipaka kinyesi kwa kuweka mambo yako private huku. Kama nmekuwa na uwezo wa kuwa na kampuni 2 kwanini hadi sasa mpange? Ulishindwa kujenga hata vyumba viwili? Au ndio maisha ya kujishoo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nanukuu kutoka ktk kitabu cha dini yangu"""wanawake ni viumbe dhaifu sana ivyo ishini nao kwa taadhali kubwa""""mwisho wa kunukuu ivyo mwanamke unaweza kumfanyia kosa moja akalichambua ilo kosa na kupata makosa mengine 100.
 
Wanaume tuna kazi ndo maana wazee walikua wanatuchagulia wake
 

Ila ukiona mwanamke kafikia hatua ya kufanya hivi ujue amevumilia mengi
 
Huyu mwanamke ni hatari kabisaa.Yaani hapa anavyojiongelesha na kuvutia kwake ili tupate huruma.

Fundisho kwa wanawake hupaswi kumuamin mwanamme asilimia 100 na pia kuandika mali zako majina ya mme sometimes human change so watch out
 
MCHAGGA HUYO KAPATIKANA NA MJANJA MWENZIE[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…