Huo ubinafsi umeanza baada ya kukosa ubunge au lile kofi moja la ku restore setings!ila kuna mwanaume mmbinafsi p.umbaf
Unajua ukipata nafasi ya kuwa mwanaume u will not judge..kupata mtu ambae mna lengo moja nayo changamoto mkuu.kuna watu wabinafsi sana . hv mtu unakuwaje mchoyo hadi kwa damu yako eti.japo tunamuona joyce mbaya ila na huyu kamanda sio kabisa aaah
Utaonaje wakati umesoma heading na kukumbilia commentSijapaona aliposema waachane, labda atasema kesho.
ahahaha sijajua mieHuo ubinafsi umeanza baada ya kukosa ubunge au lile kofi moja la ku restore setings!
Ni bora kuoa mpenda ngono kuliko mjingWahaya wanawezana wenyewe kwa wenyewe maana kwa ngono hawajambo.Hata akiwa profesa tabia zake kwenye hio sekta hua ni zile zile kama za ambae hajasoma.
Endeleeni kuoana tu nyie kwa nyie mkuu.
Sijaona asiyependa ngono usitake kudanganya watu.Wahaya wanawezana wenyewe kwa wenyewe maana kwa ngono hawajambo.Hata akiwa profesa tabia zake kwenye hio sekta hua ni zile zile kama za ambae hajasoma.
Endeleeni kuoana tu nyie kwa nyie mkuu.
Hapana mjinga hua anarekebishika.Ni bora kuoa mpenda ngono kuliko mjing kama huyo kiria na wamachane wenzie!!
Sawa,tuma salamu kwa watu watatu tafadhali.Sijaona asiyependa ngono usitake kudanganya watu.
HahahahaInategemea kama yeye ndio analipa kodi utarudi wewe Kolomije!
Jamaa kauzu balaa na mapigo yote ya upande wa pili hajajibu chochote tu?
Kweli kabisa.Sometimes silent is the best answer and more powerful than having the last word.
Kioo cha jamii gani? Hiyo jamii anaifunza nn kwa huu upuuzi anaouandika? Jamii ya matabulalasa pekee inaweza kujifunza kupitia huyu mtu.Usimlaumu yeye ni mwanamke na anajielewa sana ila fikilieni nje ya box kwann ameweka maisha yake katika mitandao? Hilo ni swali gumu sana jibu analo mwenyewe....
Jambo lingine kumbuka yeye n kioo cha jamii anafuatiliwa na wanawake wengi sana hapa tz hivyo kwa ww mwanaume na isitoshe unaweza kuwa huna familia na mpaka leo una miaka 29 bado unaishi kwa baba unajifanya una mkosoa kwa alichokifanya, fikilia kwanza ana nia gani?...
Jambo la mwisho pia kumbuka ni mfanyabiashara, mwanamke mchapakazi, hivyo hujui ana nia gani au ana mipango gani katika mwaka huu dhidi ya biashara zake nina imani hii ni moja ya mipango yake ya mwaka2018 hakika atafanikiwa
Nimesoma posts kama kumi zenye maudhui haya katika hii thread!Ndio maana baba yangu aliniusia nikae mbali na wanawake wa KICHAGA na kweli nikampiga chini mrembo wangu Filomena
Kaa mbali na chaga girls