Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Unajua ukipata nafasi ya kuwa mwanaume u will not judge..

Mwanaume ndio dira ya familia.. Na sio Leo tu for many years imekuwa hivyo. Tinafikiria tofauti sana.. Mwanaume ni kuwa ma uwezo kuwa kuthubutu..

Nahapo ndio usiri lazima uje.. Maana wanawake wanapenda assurance.. Kunapokuwa na tabu..baba anaondoka kwenda kutafuta nchi ya mbali sio kwamba hawapendi watoto..ila akibakia mtakula nn?!

Njaa ya siku moja haiui familia.. Na watoto watakula nn wakati huu baba anahangaika kutengeneza kikubwa cha baadae ..mama anakuwa mbunifu.. Ndio maana tuliwahi kunywa uji usiku tukiwa wadogo.. Kuvaa nguo za kaka yako siku ya sikukuu.. Maana hamfi kwa kukosa soseji Sikh mbili.. Mtafurahia sana kama matibabu na ada za chuo kikuu zitakuwepo pindi zinahitajika..

Familia itakuwa na raha zaidi kama wakati wa kuanza maisha watoto wazazi watakuwa financially stable wasiwasumbue watoto kutimiza ndoto zao.. Yote haya yanakuja na sacrifice.. Na hapo ndio kizazi chetu kinapokwama.. Hatujui kujitoa..we only live today!

Kwa kesi ya hawa wawili..kuna makando.kando mengi has a kwa huyu Dada.. She is entitled.. Na kwa watu Wa namna hiyo kaa nao mbali...wanaomini lazima wapate things their way..
hivi nyie watu ni wajinga au?........joyce amesema mume wake amepata hela nyumbani hakuna kitu na bado hatoi hata shilingi moja na watoto wanateseka....sasa huyo ni mtu gani ambae hajali hata watoto wake...huyo kilewo ni mjinga sana anafaa acharazwe viboko
 
Kakosea sana kutoa siri za familia hadharani.
Hapo mi ndio ninapowachukia wanawake
 
Sio kweli pesa za kujilusha awe nazo za chakula cha watoto zisiwepo kisha mambo haya hawaelewi yanawaathiri watoto kwa kiasi gani shule wanaathirika sana kisaikolojia shule wangeacha ugonvi uwe wao usihusishe watoto
soma vizuri uelewe amesema jamaa haachi hata shilingi kumi ya matumizi nyumbani watoto wanateseka wanahudumiwa na mke ...
 
hivi nyie watu ni wajinga au?........joyce amesema mume wake amepata hela nyumbani hakuna kitu na bado hatoi hata shilingi moja na watoto wanateseka....sasa huyo ni mtu gani ambae hajali hata watoto wake...huyo kilewo ni mjinga sana anafaa acharazwe viboko
Hata mimi nawashangaa hawa wanaoangalia upande mmoja tu! Joyce na Kilewo inaonesha wana joint account na hela hazitoki bila saini ya wote, mume kauchuna haweki saini watoto wana njaa!
 
Watu wengi wanacomment in one side ya kuona Mwanamke kakosea ila yapaswa kujua chanzo cha ugomvi mpaka Mwanamke kufikia uku..katika ndoa kila MTU ana wajibu wake kwa mwenzake jambo lolote linapotokea
Tatizo huyo malaya kaishia la saba B.
Hana akili kichwani.
 
Pesa haina mchagga kila unaemuona barabarani akihaha anatafuta pesa lakini sio wote Wachagga, hii ni dhana duni iliojengeka ktk jamii yetu. Sema mwanamke akishika pesa basi ndio mwisho wa familia kuishi kwa amani na upendo, mapenzi yanahamia ktk pesa na sio kwa baba.
Fanya utafiti mdogo utagundua kwamba kuna uhusiano na uchaga
 
Mhh!mbombo ngafu!Ila Joyce hizo ni siri za ndani na familia yako kwa ujumla hukupaswa kupost huko Insta.Suala kama hili ulipaswa mlimalize kifamilia,je hamna wazazi?ndugu jamaa na marafiki? Unachokifanya ni kujianika kwenye public ambayo kimsingi haina msaada kwenu zaidi ya kukucheka na kukuhurumia kinafiki.
Mumeo hata kama amekosea hukupaswa kuja kulalamika insta,kila mtu akileta matatizo yake insta ndoa nyingi zisingekuwepo.Kama unaona imefika mwisho ni bora uachane naye ,ingekuja tu stori Joyce kaachana na Kileo basi but kwa unachokifanya unajidhalilisha wewe mwenyewe na mumeo!
But pole kwa yote magumu unayopitia tafuta njia sahihi za kumaliza tatizo lenu na sio Instagram.
Anachofanya sio busara lakini huwezi jua inaweza kuwa anahisi hasipoweka sababu za kuachana kwao hadharani basi watu wa siasa wanaomuhusu mumewe watakuja kupotosha ukweli na kumshambulia yeye ndio kimeo ana makosa na vitu kama hivyo.
Ambavyo kwa mtazamo wake vitagawa shabiki wake na kumharibia biashara zake.
 
soma vizuri uelewe amesema jamaa haachi hata shilingi kumi ya matumizi nyumbani watoto wanateseka wanahudumiwa na mke ...
Ndivyo ilivyo lakini hekima ilihitajika kwa mama aendelee kulea watoto kwakuwa mungu kamuwezesha akiendelea kutafuta suruhisho sio kumuanika hapa jiulize ni wazazi wangapi wanalea watoto peke yao tena kwa kutembeza mihogo wengine kupika pombe iweje yeye kwa hari yake alalamike hivyo anajizalilisha kafeli mtihani wa kuwa mke mwema
 
Joyce pewa taraka nije chukua jiko mie niweke ndani... hatuta ishia bahari beach pekee... tutafika hadi ibiza...!

Joyce joyce.... weeeee.... ukichukua taraka iseme azalani ili nije kutimiza majukumu ya mume kwako joyce weeee....

Joyce nitakupata lini... mwanamke apigwi jamaniiiii... pwani imevamiwa na watu wa bara... wakina ngosha, wakurya nk.... kazi kupiga watoto wazuri
 
Nimeelewa vitu viwili..hii ndoa ilikua ishafeli sasa jamaa alichokifanya ni kuacha kila kitu na kuhama nyumbani...sasa kinachotokea ni frustration za aina nyingi kwa mwanamke maana baba hayupo, gharama zimekua kubwa na jamaa si kuwa hayupo ila pia yupo kimya...ndio maana Joyce anaongea kila mahali maana anahitaji msaada ila hajui aupate wapi, na anaomba aachiwe biashara zake kama biashara nizake kwann aombe aachiwe? Hii ina maana kwamba hizo biashara kafunguliwa na mumewe...kwasasa sina cha kumshauri maana hataelewa...huyo kileo atakua anakaa lodge na hela si anayo ...atatafuta katoto kadogo kakutumbua nae..watoto wake watakua wanateseka mno ila kila akimkumbuka mke atakua anaenda mbali zaidi...natamani ningepata nafasi ya kuwashauri wote...tatizo kileo yupo kimya..hujui na yeye yamemsibu yapi...wanaume wana koromeo...poleni watoto poleni sana...nakaribisha PM kwa ushauri zaidi
Mkuu naomba hii ikae juu pale kila mtu asome huu ujumbe tupate wachangiaji wenye hekima na ushauri
 
Yote utakutwa tunazugwa tu humu ili watu wajiendeshee mambo yao
 
Hivi huyu Dada hajafundwa jaman mbona kila kitu anatoa nje kumuacha uchi mume wake siku ya siku kumuacha hawezi anabaki kuaibika tu
Mkuu acha dada amwage nyongo ili awe na amani rohoni kamanda anakula byataaa kwa mwendo wa fast jet
 
Tunataka nae babawatoto wako atoe ya moyoni sio tahira akurupuke tu kama swala katishwa na simba wanaume sio wazungumzaji madhaifu ya wanawake adharani ila kuna kitu kikubwa kilichomfanya jamaa afanye hayo yote tatizo nyie ke ni wepesi sana kulia mkifanyiwa ubaya ila ni wepesi wakusahau chanzo all the Best bhn endelea kutumbua kama alikuona dekio, mbele za watu Leo anakuona jakaya kati muda wakustaafu ulishafika
 
Back
Top Bottom