Mkuu jamii ya mabeki tatuKioo cha jamii gani? Hiyo jamii anaifunza nn kwa huu upuuzi anaouandika? Jamii ya matabulalasa pekee inaweza kujifunza kupitia huyu mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jamii ya mabeki tatuKioo cha jamii gani? Hiyo jamii anaifunza nn kwa huu upuuzi anaouandika? Jamii ya matabulalasa pekee inaweza kujifunza kupitia huyu mtu.
Huenda tusisikie milele.Tumesikia upanse wa Joyce tu. Huenda tungeaikia ya Kilewo tungefunga midomo kbs. Time will tell
Nenda kawalishe wewewatoto huyo kilewo amewatelekeza bila chakula
hahahahah wanaume wote madomo zege,insecured na wanaopitia magumu kwenye ndoa zao,ndio lazima 'mumsulubu' dada wa watu mtandaoni,...hahaha mnachekesha..... ukweli,kama umejibu upupu kwenye hii mada naomba mjiassess mahusiano yenu yakoje?? I bet 90% of you are in troubled relationships....take it easy!.....
Kuna wachaga wanatoka Mwanga?HUYU MWANAMKE AMEKOSA SIFA YA UTII KAMA AMBAVYO MUME AMEKOSA AKILI. HVYO WOTE NI WAJINGA. KWA KUWA WOTE NI WACHAGA, WACHA TUTIZAME SINEMA.
Kama unahela zako na bado unalelewa wewe ni mario tu.Mkuu utanisahihisha hapo mwanzo dada joi alisema mumewe hana kitu yeye ndie msimamiaji wa show
Lakini uzi huu naona dada joi analalamika na kukiri jamaa amefungua kampuni yake + huwa anatoa pesa kisiri siri + mishe zake za pesa na biashara ni siri sana
Sasa kaka angu na kamanda wangu kileo bado ni Mario?
hahahahah wanaume wote madomo zege,insecured na wanaopitia magumu kwenye ndoa zao,ndio lazima 'mumsulubu' dada wa watu mtandaoni,...hahaha mnachekesha..... ukweli,kama umejibu upupu kwenye hii mada naomba mjiassess mahusiano yenu yakoje?? I bet 90% of you are in troubled relationships....take it easy!.....
Mbona mwanzo dada joi alisema alikuwa anasimamia show zote hata matunzo ya jamaa leo imekuwaje kileo amekuwa mbahili na pesa katoa wapi wakati mtunzaji ni supawumeni?hivi nyie watu ni wajinga au?........joyce amesema mume wake amepata hela nyumbani hakuna kitu na bado hatoi hata shilingi moja na watoto wanateseka....sasa huyo ni mtu gani ambae hajali hata watoto wake...huyo kilewo ni mjinga sana anafaa acharazwe viboko
cku iz watu wakisoma ndio wanazid kua wajingaElimu ina sehemu yake kubwa katika kumjenga binadamu, ova!
Ila joi pesa ya kujirusha peke yake anayo kununua chakula kwa watoto hadi kileo asaaini?Hata mimi nawashangaa hawa wanaoangalia upande mmoja tu! Joyce na Kilewo inaonesha wana joint account na hela hazitoki bila saini ya wote, mume kauchuna haweki saini watoto wana njaa!
Sasa unategemea mwanaume ajibishane mitandaoni?Hizi stori huwa za upande mmoja tu
Kwa haya majibu nimepata identity ya wewe ni mtu wa design gani. Enjoy the brezee
Kiongozi weka heshima mbele ..hivi nyie watu ni wajinga au?........joyce amesema mume wake amepata hela nyumbani hakuna kitu na bado hatoi hata shilingi moja na watoto wanateseka....sasa huyo ni mtu gani ambae hajali hata watoto wake...huyo kilewo ni mjinga sana anafaa acharazwe viboko