Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Kama haziskiiHii nimeipenda sana, sugu pia alitakiwa kuwa kama huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haziskiiHii nimeipenda sana, sugu pia alitakiwa kuwa kama huyu
Kujikweza, anapenda kuishi maisha ya gharama kuzidi uwezo wakeMwanaume Bora ukosee kujenga nyumba, usikosee kuoa. Kilichomuachanisha huyu mwanamke na mume wa kwanza hivi kuna anayekijua?
Yeeaaah man, unakausha tu na maisha yanaendeleaKama haziskii
leNimeelewa vitu viwili..hii ndoa ilikua ishafeli sasa jamaa alichokifanya ni kuacha kila kitu na kuhama nyumbani...sasa kinachotokea ni frustration za aina nyingi kwa mwanamke maana baba hayupo, gharama zimekua kubwa na jamaa si kuwa hayupo ila pia yupo kimya...ndio maana Joyce anaongea kila mahali maana anahitaji msaada ila hajui aupate wapi, na anaomba aachiwe biashara zake kama biashara nizake kwann aombe aachiwe? Hii ina maana kwamba hizo biashara kafunguliwa na mumewe...kwasasa sina cha kumshauri maana hataelewa...huyo kileo atakua anakaa lodge na hela si anayo ...atatafuta katoto kadogo kakutumbua nae..watoto wake watakua wanateseka mno ila kila akimkumbuka mke atakua anaenda mbali zaidi...natamani ningepata nafasi ya kuwashauri wote...tatizo kileo yupo kimya..hujui na yeye yamemsibu yapi...wanaume wana koromeo...poleni watoto poleni sana...nakaribisha PM kwa ushauri zaidi
Sijapaona aliposema waachane, labda atasema kesho.Kwa hiyo wanaachana lini?
Politicize everything!!?Kwa hiyo anachosema dada etu ni kuwa kamanda kaamua kukomaa na mali za familia. Mbaya zaidi anakomoa tu ili huyu dada ateseke bila kujali watoto?
Where is politicking in my post?Politicize everything!!?