Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake. Wenyewe nadhani ajajua maana ya ndoa Ndoa ni kujaza pale kwa mwenzako palipopungua yaani mnatengemezana mnaimalishana hata mwisho hii sio sawa
 
Wanawake bwana! Ukiona anakushirikisha kitu ambacho kwa kawaida huwa ni siri, ujue baadaye itakula kwako.

Ukiona Mwanamke anakwambia Mume wangu password ya simu yangu ni hii (akakuonesha) ujue kesho atakuganda kama sisimizi umuoneshe password yako. (kwa ajili ya nini wanafanya hivi sijui, Ila ni wivu tu wa mali).

Na ukiona Mwanaume amekususia mapato ya biashara flani (kwa mfano duka, au pango la nyumba) akakuambia hakuna shaka kwa kuwa unang'ang'ania. Alafu akakususia au akakuruhusu kila kitu kwenye mapato ya biashara nk, Kaa ujue eee mwanamke huyo mume wako ana nyumba au miradi mikubwa na mingi zaidi ya hicho alichokuachia.

Wanaume wengi wanatabia ya simba au chui Ni wakali sana katika umiliki wao, Lakini ukiwa mkali na ukadinda ktk level yao huondoka na kuhama kabisa kutafuta sehemu tulivu na yenye maslahi kwao.

Wanawake mtulie,

Ama mtahangaika sana na wanaume.
 
kama wake wenyewe wa kuoa ndio hawa ni heri niishi kama Yesu au Paulo tu!
 
Huyu dada kiboko, bora kayasema yote maana angeamua kujinyonga tungetokwa na povu hapa eti kwann hakusema...better you got free now, we ongea hadi yoooooteeeee yaishe
 
Mmmh....insta kuna msaidia nini?

Mambo yako ya familia unaleta social media duuh!

Hii ni aibu kwake, na hamchoreshi huyo marioo, anajichoresha yy mwenyewe, coz now tumejua Joyce ni sugar mumy!
Na ww una amini kbs kamanda analelewa na huyo super woman?...
 
Naonaga tu unavowatetea wanawake wenzako kumbe nawe yamekupata, pole sana, kadai taraka mgawane mali, uko instagram hakuna sheria itakayokusaidia
 
Mmh kheri yetu kizazi change BBC (Born before computer) error. Nyie BAC (Born after computer) kuiga iga mambo ya wadhungu kunawamalizia heshima. Naona siku za kufanya deep penetration sex kwa Bluetooth zimewadia. Huyu sio mwanamke kujenga Familia bali anarutubisha na kujali mitandao ya kijamii.
 
Anayemwaga mtama kwenye kuku wengi na kuna channels za kushughulikia tatizo na likasuluhishwa.
Ni vizuri kumwaga mtama kwenye kuku wengi hili kuku wengi wale na kunenepa, au vp bro ?
 
Sheria hizi ziko friendly na wanawake ...geuza u pande wa pili jamaa ana mali mwanamke hana wangegawana pasu kwa pasu ila inategemea kuoa wanawake wenye vpato ujipange huenda jamaa ana provide familia kwa kidg alichonacho yy anaona hakitosh ...nshaona kadhia ka hii ..mtu ajipange kuoa wenye vipato
Mali kama ilipatikana through joint effort ni matrimonial lazima waigawane kulingana na mchango wa kila mwanandoa
 
Elimu jaman ndio kila kitu ktk maisha isipokupa maisha mazur basi itakupa busara na kinyume chake ndio haya.
 
Do not wash the laundry in public wote hambaki salama sasa huyu kamanda ni signatory halafu kaingia mitini hela itatolewaje kutoka account kwa matumizi ya lazima ya kila siku
 
Swala siyo mume aliyekuzalisha, akisha kuwa mume wako huyo ni mwandani wako. Hata kama ana tabia za aina gani huwezi muanika hivi, iwe ni kwa ndugu au marafiki sembuse kny mitandao.
Kula tano dada
 
Back
Top Bottom