Hivi huyu Joti huwa anawachekeshaje watu?

Hivi huyu Joti huwa anawachekeshaje watu?

Mi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna.

Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza katiba lakini hata kuchekesha kwenyewe hakupo.

Huwa anawachekeshaje?


nikishaona mchekeshaji/msanii wa kiume anaweza akajipaka lipstick na marangi usoni kisha akavaa mawigi na matiti bandia na nguo za kike, huwa naona ni shoga tu, sioni usanii wo wote. Kwangu mimi wachekeshaji wote wa bongo ni mashoga tu.

Kuna lile kundi linajiita kitimtim wanaonyeshwa dstv channel 160, kuna jamaa anavaa kike wiki hii nimemsikia kabisa eti anasanii kuwa alikuwa kwa bwana yake, nilitaka kutapika, lilikuwa tangazo tu katikati ya Jua Kali.
 
nikishaona mchekeshaji/msanii wa kiume anaweza akajipaka lipstick na marangi usoni kisha akavaa mawigi na matiti bandia na nguo za kike, huwa naona ni shoga tu, sioni usanii wo wote. Kwangu mimi wachekeshaji wote wa bongo ni mashoga tu.

Kuna lile kundi linajiita kitimtim wanaonyeshwa dstv channel 160, kuna jamaa anavaa kike wiki hii nimemsikia kabisa eti anasanii kuwa alikuwa kwa bwana yake, nilitaka kutapika, lilikuwa tangazo tu katikati ya Jua Kali.
[emoji2936][emoji2935]
Screenshot_20230203-184632.jpg
 
Mtoa mada umekereka na katiba ndio itakuletea chakula?
 
Nyonyoma kwa mbali, baadhi ya clips zake ni nzuri. Pia watu wa cheka tu huwa wanaotea punchlines hapa na pale. Ukweli ni kuwa sekta ya comedy bongo haina tofauti na wenzao wa bongo movie. Contents zao za kitoto sana.
Wanafanya maigizo ya kuchekesha badala ya kutoa content ambazo zinamfanya mtu aone hakuna option zaidi ya kucheka.
 
Joti ana haiba ya uchekeshaji, ila nahisi hawezi unda vichekesho. Inabidi amtafute mtu awe anamtengenezea ye abaki kuigiza vichekesho hivyo.

Toka wametengana, joti huyu, siyo joti yule.
Yule joti alikuwa wa moto, utacheka tu.
Seki alikua mtu behind those niggaz
 
Joti anachekesha bwana.
Huyu jamaa, mpoki, na wale wenzao, wakina na wachekeshaji wengi wa bongo hata waliotangulia mbele za haki. Max to say so.
WANACHEKESHA.
Bongo tu ndio comedy hailipi vle. Jamaa wangezaliwa nigeria na hizi content zao. Kizungu kidogo. Wangekua mbali.
Hiyo nishai mimi siifatilii. Ila main aim yake chukua point moja cheka, sio uangalie kama anatangaza taarifa ya habari.
Take what is funny from his content that’s comedy.
 
Joti anachekesha bwana.
Huyu jamaa, mpoki, na wale wenzao, wakina na wachekeshaji wengi wa bongo hata waliotangulia mbele za haki. Max to say so.
WANACHEKESHA.
Bongo tu ndio comedy hailipi vle. Jamaa wangezaliwa nigeria na hizi content zao. Kizungu kidogo. Wangekua mbali.
Hiyo nishai mimi siifatilii. Ila main aim yake chukua point moja cheka, sio uangalie kama anatangaza taarifa ya habari.
Take what is funny from his content that’s comedy.
Sasa mkuu point ipi ya kuchekesha wakati hatuoni hata uwepo wa hiyo point?? Labda kama binadamu tunatofautiana lakini in short hakuna Cha kuchekesha kwenye content za huyo mnaemuita joti. Wakenya tu ndio Wana ushawishi, akina njugush, tricky na wengineo. Ila kwa huyu jamaa kwangu Bado sana
 
Joti anachekesha bwana.
Huyu jamaa, mpoki, na wale wenzao, wakina na wachekeshaji wengi wa bongo hata waliotangulia mbele za haki. Max to say so.
WANACHEKESHA.
Bongo tu ndio comedy hailipi vle. Jamaa wangezaliwa nigeria na hizi content zao. Kizungu kidogo. Wangekua mbali.
Hiyo nishai mimi siifatilii. Ila main aim yake chukua point moja cheka, sio uangalie kama anatangaza taarifa ya habari.
Take what is funny from his content that’s comedy.
'Take what is funny from his content', this is hilarious because the dude has no content at all.
 
Joti ana haiba ya uchekeshaji, ila nahisi hawezi unda vichekesho. Inabidi amtafute mtu awe anamtengenezea ye abaki kuigiza vichekesho hivyo.

Toka wametengana, joti huyu, siyo joti yule.
Yule joti alikuwa wa moto, utacheka tu.
Kuna watu joti aliwapoteza now ameshuka Sana , kwenye YouTube channel yake kuna jamaa anaitwa kipande , na Sopa na Madame kiukweli hawa walimweka juu Sana joti kipindi ametengana na original commedy , amewafukuza now kabaki mtupu kabisa
 
Kuna watu joti aliwapoteza now ameshuka Sana , kwenye YouTube channel yake kuna jamaa anaitwa kipande , na Sopa na Madame kiukweli hawa walimweka juu Sana joti kipindi ametengana na original commedy , amewafukuza now kabaki mtupu kabisa
Sure mkuu

Kipande

Sopa

Mama dame

Afu nafkir maslahi ni madogo ...huyu jamaa ofis yake ilikua pale kinondoni studio ....nyumba moja pamoja na studio ya Man-water

Ilikua wakitoka location wanapika wanakula afu kila mtu anaenda kwake

Niliangalia ile lifestyle nka conclude kuwa alikua anawalipa hela ndogo pengine ndo maana wamekimbia

Sopa siku hz ana kisehemu pale sinza kwa remi anauza soup asubuh ...ukienda pale unamkuta jikoni anakimbiza

Vijana wameamua kujiongeza
 
Back
Top Bottom