Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni chizi fresh anayepewa airtime na wajinga wengiNimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
Hayo ndio maubili ya wakiristo unashangaa nn?Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
HayaProfessional doctor hawezi akathibitisha fulani ni mgonjwa bila kumpima na kujua historia yake,
Professional doctor hawezi kuja na suluhisho fulani ni mgonjwa wa akili kwa kumuona kwenye tv,
Na kitendo cha kukomalia "mimi ni tabibu, mimi ni tabibu" tayari inaonesha kuna shida mahali,
Umeenda mbali sana kutaja Bipolar na Schizophrenic, mgonjwa wa Bipolar unamjuaje kwa kumuangalia kwenye Tv bila kua kwenye maisha yake halisi?
Schizophrenic really! Siwezi hata kuanzia kwenye hilo kisa amesema aliona Jua, aliona Malaika, alifika Mbinguni, alikutana na Manabii, aliona Watu waliokufa tayari umethibitisha ana Schizophrenic..... please[emoji732]️
HayaHahahaha hadi umeshanijudge jinsi ninavyoishi na watu huku kwenye ulimwengu asilia!
Bro, i'm telling you, you have issues, fix it
Professional doctor hawezi akathibitisha fulani ni mgonjwa bila kumpima na kujua historia yake,
Professional doctor hawezi kuja na suluhisho fulani ni mgonjwa wa akili kwa kumuona kwenye tv,
Na kitendo cha kukomalia "mimi ni tabibu, mimi ni tabibu" tayari inaonesha kuna shida mahali,
Umeenda mbali sana kutaja Bipolar na Schizophrenic, mgonjwa wa Bipolar unamjuaje kwa kumuangalia kwenye Tv bila kua kwenye maisha yake halisi?
Schizophrenic really! Siwezi hata kuanzia kwenye hilo kisa amesema aliona Jua, aliona Malaika, alifika Mbinguni, alikutana na Manabii, aliona Watu waliokufa tayari umethibitisha ana Schizophrenic..... please[emoji732]️
Nmeishi nmekaa mwanzaProfessional doctor hawezi akathibitisha fulani ni mgonjwa bila kumpima na kujua historia yake,
Professional doctor hawezi kuja na suluhisho fulani ni mgonjwa wa akili kwa kumuona kwenye tv,
Na kitendo cha kukomalia "mimi ni tabibu, mimi ni tabibu" tayari inaonesha kuna shida mahali,
Umeenda mbali sana kutaja Bipolar na Schizophrenic, mgonjwa wa Bipolar unamjuaje kwa kumuangalia kwenye Tv bila kua kwenye maisha yake halisi?
Schizophrenic really! Siwezi hata kuanzia kwenye hilo kisa amesema aliona Jua, aliona Malaika, alifika Mbinguni, alikutana na Manabii, aliona Watu waliokufa tayari umethibitisha ana Schizophrenic..... please[emoji732]️
Mkuu wengi wanakupinga lakini moja ya dalili ya grandiose Ni kujiamini, hii inatokana na kujiona wao Ni Bora kuliko wengine , yaani wao Ni Kama mfalme, na wanaamini mawazo yao ndio sahihiHuyu atakavyoanza kuonyesha negative symptoms tutakuepo hapa
Tuombeane uzima
Nmehudumia wagonjwa wa akili nawafahamu hata kwa kuandikaMkuu wengi wanakupinga lakini moja ya dalili ya grandiose Ni kujiamini, hii inatokana na kujiona wao Ni Bora kuliko wengine , yaani wao Ni Kama mfalme, na wanaamini mawazo yao ndio sahihi
Hii inawafanya kuwavuta watu wenye upeo mdogo na kuwaambukiza wanacho kiamini ,mwisho wa siku nao wanakuwa wagonjwa
Huyu mama akipewa Sana airtime Nina hakika atawaambukiza ukichaa watu wengi sana
Sawa Sawa mkuuHata mimi ni tabibu, ila nimempuuzia na kuona kuwa ni njaa tu ya mafanikio ndo inayomsumbua.Ana akili timamu kabisa. Anajua anachotarajia na kaweka mikakati yake ili kufikia ndoto zake, lengo lake ni kupata watu wengi ipasavyo ,yeye kujulikana ili avute watu na sadaka ziongezeke. Fikiria anasema kumfufua Kanumba na Sajuki. Kalenga hayo majina coz anajua ni ma star hivyo atagusa watu weeengi. Niliangalia interview yake kuna sehemu alisema Dr alifanye C section kwa mama yake ili yeye azaliwe,Dr alikuwa peke yake na huyo mama Zuma kwenye chumba cha upasuaji. Uliona wapi Dr anakuwa peke yake na mama mjamzito tu wakati anafanya hii intervention?Ila majority wataamini.
Mimi ninamuona Zumaridi ni mwanamke mwenye akili kaamua kutumia njia hiyo ili kujukwamua kimaisha.
I will fix it do not worryHahahaha hadi umeshanijudge jinsi ninavyoishi na watu huku kwenye ulimwengu asilia!
Bro, i'm telling you, you have issues, fix it
Njaa au tamaa ya pesaBongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
You could have a centric way of viewing things leo tungeelimishana na kufahamishana mambo mengi Sana but you have a eccentric ways of viewing things and I can't judge you by that I have delt with gender dysmorphic patient also a lot so I can't judge you and I am sorry I had to go back to your post concerning your lesbianism I understand you a lotNa hao waandishi wa Vitabu vya Supernaturals, wana matatizo ya Akili? Maana akichokisema Zumaridi kipo kwenye movies kibao na hata ikitokea Mtu akatungia kitabu/movie anapiga hela ndefu [emoji38]
Millard kala zake shilingi kumpa airtime na mambo ya kipuuzi kibaoNjaa au tamaa ya pesa
Answering your questions without deferring the main messageNa hao waandishi wa Vitabu vya Supernaturals, wana matatizo ya Akili? Maana akichokisema Zumaridi kipo kwenye movies kibao na hata ikitokea Mtu akatungia kitabu/movie anapiga hela ndefu [emoji38]
Uko sahihi kabisa mkuuBongo media zinashadadia ujinga mtu unampaje interview zumaridi?
Mamlaka ilipaswa ichukue hatua ya kumfutia leseni na kuja na Vigezo maalum kwa mtu anayetaka kuwa mchungaji au muhudumu wa kiroho sio mtu anaibuka na ndoto za mchana tuNimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515