Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
No she is sick....She is not. Mwenzako yupo kazini.
She may be getting money but she is sick
Delusional of grandiose ni hatari anaionyesha wazi wazi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No she is sick....She is not. Mwenzako yupo kazini.
Huyu ana tatizo sugu la akili mkuu, ni kumpuuza tuNimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?
Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.
Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.
Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.
Mwenye muda akatazame kwa Millard.
View attachment 2549515
Sio Zumaridi tuKupitia hiyo interview ndio nimeamini Zumaridi ana akili sanaaa, kwanza hajasoma sana kaishia darasa la 7 tu lakini angalia kaweza kuwateka watu maelfu kwa maelfu wanamuelewa na huwaambii kitu, ana maisha ya kifahari, kumuona huyo Mama hana akili ni kujikosea wewe mwenyewe, huyo Mama ana akili sana ndio maana kashika akili za wengine,
Wanaomchukia nao wana tatizo hayo ni masuala ya kiimani zaidi, mbona wewe unaamini unachoamini kwanini iwe nongwa kwake kuamini kua katokewa na Jua na alipelekwa Mbinguni,
Gwajima alikua anaitwa Yesu na Waumini wake,
Nabii Mkuu alisema alishatokewa na Yesu live,
Bado kuna Mitume na Manabii tele wanasema wameshushiwa Upako wa kuponya wengine,
Kwanini kwa Zumaridi iwe Nongwa? Kisa Mwanamke?
Muacheni Mama wa Watu kishaenda Mbinguni na karudi kazi kwako.
Kuna wasabato walitaka kupanda ndege Pale airport kwenda Marekani huku hawana hata passports lakini nao utakuta wanamshangaa Zumaridi.Kupitia hiyo interview ndio nimeamini Zumaridi ana akili sanaaa, kwanza hajasoma sana kaishia darasa la 7 tu lakini angalia kaweza kuwateka watu maelfu kwa maelfu wanamuelewa na huwaambii kitu, ana maisha ya kifahari, kumuona huyo Mama hana akili ni kujikosea wewe mwenyewe, huyo Mama ana akili sana ndio maana kashika akili za wengine,
Wanaomchukia nao wana tatizo hayo ni masuala ya kiimani zaidi, mbona wewe unaamini unachoamini kwanini iwe nongwa kwake kuamini kua katokewa na Jua na alipelekwa Mbinguni,
Gwajima alikua anaitwa Yesu na Waumini wake,
Nabii Mkuu alisema alishatokewa na Yesu live,
Bado kuna Mitume na Manabii tele wanasema wameshushiwa Upako wa kuponya wengine,
Kwanini kwa Zumaridi iwe Nongwa? Kisa Mwanamke?
Muacheni Mama wa Watu kishaenda Mbinguni na karudi kazi kwako.
Haya.I think, it is who is seriously sick.
Sitaki kubishana na wewe bwana
For any experienced medical personnel he / she can recognise a mental unfit person simply by observing the traits popping up subconsciously
Mfano kwa comment yako " kama wewe ni daktari, umeikosea taaluma ya Kidaktari"
These few lines can tell me much about you
Or simply my words " sitaki kubishana na wewe bwana"
Haya.Kitendo cha kumuona Mtu ambaye hujawahi kukaa nae hata sekunde 5 zaidi ya kwenye tv kua ni Mgonjwa wa Akili sababu tu anafanya vitu ambavyo wewe hupendezwi navyo basi jua wewe ndie mgonjwa,
Huwezi kusema Tapeli ni Mgonjwa wa Akili au Mchekeshaji ni Mgonjwa wa Akili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna wasabato walitaka kupanda ndege Pale airport kwenda Marekani huku hawana hata passports lakini nao utakuta wanamshangaa Zumaridi.
Watu wagonjwa wa akili ni wale wanashindwa kufanya shughuli zao za kutatua matatizo yao kwenye maisha. How unasema huyu dada ni mgonjwa wakati ni hard worker, smart, mambo yake tunayaona.Hakuna sehemu analia maumivu hadi ashindwe kupiga kazi.Katoka jela siku hiyo hiyo kaanza kupiga kazi..No she is sick....
She may be getting money but she is sick
Delusional of grandiose ni hatari anaionyesha wazi wazi kabisa
Eeeeh! Daktari hii ya wapi tenaSio Zumaridi tu
Wapo wengi wenye matatizo
I once wrote a paper about mental diseases being contagious and I can tell you sio yeye tu wapo wengi but we have normalize it...
Haya.Eeeeh! Daktari hii ya wapi tena
"mental diseases being contagious"
Kivipi yaan mbona utafiti wako ni kiboko
Hua ni ngumu sana ku deal na watu wa Aina yakoEeeeh! Daktari hii ya wapi tena
"mental diseases being contagious"
Kivipi yaan mbona utafiti wako ni kiboko
Kama. Ungekua ni mtu mwelewa na mstaarabu you could simply ask how is it possible that mental diseases are contagiousEeeeh! Daktari hii ya wapi tena
"mental diseases being contagious"
Kivipi yaan mbona utafiti wako ni kiboko
Hata mimi nimeshawahi kufanya kazi na watu wenye tatizo la akili.Yaani hao watu wengi .Hawawezi kabisa kufanya shughuli za kila siku ili kutafuta solution za matatizo kwenye maisha. Unakuta mtu hata kwenda kazini hawezi.Mtu anachapa kazi zake vizuri,unamwona anatatua matatizo yake,anaweka mwanasheria kumpambania ili atoke jela,anatoka jela anapiga kazi na anasema yaliyopita yamepita. Utasema vipi mtu huyu anaumwa akili ?No she is sick
Mimi ni daktari na nimehudumia wagonjwa wengi wa akili kama yeye
She is sick!
Mgonjwa wa akili si lazima ashindwe kufanya kaziWatu wagonjwa wa akili ni wale wanashindwa kufanya shughuli zao za kutatua matatizo yao kwenye maisha. How unasema huyu dada ni mgonjwa wakati ni hard worker, smart, mambo yake tunayaona.Hakuna sehemu analia maumivu hadi ashindwe kupiga kazi.Katoka jela siku hiyo hiyo kaanza kupiga kazi..
Basi huyo si mgonjwa,kama tatizo la akili haliathiri utendaji wake kazi wa kila siku katika kusolve matatizo ya maisha yake. Au haliathiri mood zake za kila siku.Mgonjwa wa akili si lazima ashindwe kufanya kazi
Mtu mwenye tatizo la akili si lazima ashindwe kufanya kaziHata mimi nimeshawahi kufanya kazi na watu wenye tatizo la akili.Yaani hao watu wengi .Hawawezi kabisa kufanya shughuli za kila siku ili kutafuta solution za matatizo kwenye maisha. Unakuta mtu hata kwenda kazini hawezi.Mtu anachapa kazi zake vizuri,unamwona anatatua matatizo yake,anaweka mwanasheria kumpambania ili atoke jela,anatoka jela anapiga kazi na anasema yaliyopita yamepita. Utasema vipi mtu huyu anaumwa akili ?
DuuhBasi huyo si mgonjwa,kama tatizo la akili haliathiri utendaji wake kazi wa kila siku katika kusolve matatizo ya maisha yake. Au haliathiri mood zake za kila siku.