Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Halafu chaajabu ukipaangalia kwake pakishua sjui pesa za kujenga iyo mijengo zote kapata kwenye Dini
 
Dada ana shida ya akili au Ndio biashara kuwateka waumini wake maana kuna watz uelewa ni sifuri
Hana shida yoyote ya akili. Ni vile tu ameamua kuwa na namna yake ya ku view issues differently.

Mbona watu kama Zumaridi wakitokea Ulaya na Marekani, huku Afrika wanakubakika faster sana.

Makanisa kama ya walutheri na wasabato ni mifano ya makanisa yaliyoanzishwa na Mazumaridi wa Ulaya na Marekani.
 
.. mm m. . M
M nmbc

Mm v vn
M ...
Mm .mcm.
. Xnm
Mm .
Nmm m m.m

N

Mbb .c




M n m . M
Cmm



M m nmm
.mt.t.m NMccmmb m
 
Hana shida yoyote ya akili. Ni vile tu ameamua kuwa na namna yake ya ku view issues differently.

Mbona watu kama Zumaridi wakitokea Ulaya na Marekani, huku Afrika wanakubakika faster sana.

Makanisa kama ya walutheri na wasabato ni mifano ya makanisa yaliyoanzishwa na Mazumaridi wa Ulaya na Marekani.
Naona wabakupa taabu sana kwenye uchawi wako.
 
Ila zumarudi ni bonge la pisi shape la kisukuma balaa tupu
 
Kupitia hiyo interview ndio nimeamini Zumaridi ana akili sanaaa, kwanza hajasoma sana kaishia darasa la 7 tu lakini angalia kaweza kuwateka watu maelfu kwa maelfu wanamuelewa na huwaambii kitu, ana maisha ya kifahari, kumuona huyo Mama hana akili ni kujikosea wewe mwenyewe, huyo Mama ana akili sana ndio maana kashika akili za wengine,

Wanaomchukia nao wana tatizo hayo ni masuala ya kiimani zaidi, mbona wewe unaamini unachoamini kwanini iwe nongwa kwake kuamini kua katokewa na Jua na alipelekwa Mbinguni,

Gwajima alikua anaitwa Yesu na Waumini wake,
Nabii Mkuu alisema alishatokewa na Yesu live,
Bado kuna Mitume na Manabii tele wanasema wameshushiwa Upako wa kuponya wengine,

Kwanini kwa Zumaridi iwe Nongwa? Kisa Mwanamke?
Muacheni Mama wa Watu kishaenda Mbinguni na karudi kazi kwako.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii dunia ina machizi mengi sanambona wengi tu wanasema wameongea na Mungu. Msamehe bure tu kuna kitufe cha mawasiliano kichwani kwake kilinyofoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna popoma mwingine hapa yeye anasema eti alikuta wimbo wa Umbrella wa Rihanna unapigwa kuzimu...😳😳

Screenshot_20230320_064629_Instagram.jpg
 
Na Pesa anaipata haswaa,
Halafu Mtu anasema ana tatizo la Akili,
Watanzania bhana
Ndo shangaa,mtu yupo smart.Mtu asie na akili aweze kushawish watu wote hao?Mtu asie na akili kweli anzie chini kwenye utafutaji,kutoka kuuza samaki mpaka kuwa na kanisa na maendelo hayo.Kwangu mimi huyu ni HUSTLER. Pongezi kwake kishauaga umaskini.
 
Kama wewe ni daktari na unamuona Zumaridi ana tatizo la Akili basi umeikosea taaluma ya udaktari,

Jitafakari upya
Sitaki kubishana na wewe bwana

For any experienced medical personnel he / she can recognise a mental unfit person simply by observing the traits popping up subconsciously

Mfano kwa comment yako " kama wewe ni daktari, umeikosea taaluma ya Kidaktari"
These few lines can tell me much about you

Or simply my words " sitaki kubishana na wewe bwana"
 
Back
Top Bottom