Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Hakika wewe ni mfuasi wake mtiifu. Kwahiyo Mungu ana ofisi mbinguni? Na kweli Petro alikataliwa na mfalme wako Zumarid ombi lake la kumuoa?😄🤣
Nawaza kama angekubali kuolewa na Petro
Je petro angekua malkia au
 
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515
Hapa naona kunashida ya afya ya
 
Millard Ayo hana kosa bila yeye kufanya interview mngejuaje zumaridi dishi limeyumba.
 
NI VIZURI IELEWEKE,ZUMARIDI HANA TATIZO.
TATIZO NI WALE WAFUASI WAKE. HAO NDIO WAKUWAONEA HURUMA,KUWASIKITIKIA.
UWEPO WA WAKINA ZUMARIDI NI ISHARA TOSHA, TAIFA HATA BAADA YA MIAKA 62 YA UHURU LINA WAJINGA WENGI .
 
Mara hutaki ligi, mara unaenda na kurudi kubishana[emoji1787]
Dah umejua kunichekesha sana we mzee,

Ushanijudge naishi vipi na watu wakati hunijui, ushani judge na sexuality yangu,[emoji3]
Baada ya kukushangaa kumjudge Zumaridi ambaye hujamuona wala kuishi nae ukaja kuandika eti umeishi Mwanza na kufanya kazi ya utabibu kwa miaka kadhaa kwa hiyo ulikua unamuona, yaan ulimuona akipita njia au ulimuona akija hospital na ukamtibia??

Kiufupi wewe ni judgemental pia kwa mujibu wa majibu yako una ile kitu inaitwa Narcissistic Personality Disorder,

Normal professional daktari hawezi kubehave the way you behave here, HAKUNA, HAKUNA, HAKUNA
Huo ugonjwa wa akili unaonituma niwapige pesa wajinga naomba unipate ata mimi aise[emoji4][emoji4]
 
Ila Milard ana moto wake special, alivyokuwa serious sasa!!🤣🤣🤣🤣
 
Uhuru ukizidi sana hata wagonjwa wa akili hupewa fursa ya kusikilizwa, kwa kigezo cha haki za binadamu.

Serikali yetu haina dini, ila inaruhusu viongozi wa kidini waliojichagua wenyewe kuathiri fikra, imani na mitazamo ya watu wengine kwenye jamii bila udhibiti.

Matokeo ya kadhia hii ni watu kujipachika vyeo vya kidini na kujitangazia uteule na usafi mbele za Mungu.
 
Mara hutaki ligi, mara unaenda na kurudi kubishana[emoji1787]
Dah umejua kunichekesha sana we mzee,

Ushanijudge naishi vipi na watu wakati hunijui, ushani judge na sexuality yangu,[emoji3]
Baada ya kukushangaa kumjudge Zumaridi ambaye hujamuona wala kuishi nae ukaja kuandika eti umeishi Mwanza na kufanya kazi ya utabibu kwa miaka kadhaa kwa hiyo ulikua unamuona, yaan ulimuona akipita njia au ulimuona akija hospital na ukamtibia??

Kiufupi wewe ni judgemental pia kwa mujibu wa majibu yako una ile kitu inaitwa Narcissistic Personality Disorder,

Normal professional daktari hawezi kubehave the way you behave here, HAKUNA, HAKUNA, HAKUNA
Haya
 
Ukaona uandike kiingereza labda itakupa sapoti kuaminisha watu kua wewe ni tabibu kweli [emoji1],
Wewe ni Tabibu ila uliyeshindwa kufata miiko ya kitabibu labda sababu ya hiyo Narcissistic Personality Disorder,

Zumaridi anakutesa namna hii au unateseka kuona mtu amekukosoa kwa kile unacholazimisha watu wakiamini?

Zumaridi kwann usingemuweka kwenye kundi la waongo au tapeli au usanii kuliko kulazimisha ni mgonjwa wa akili?

Kama awali nilivyosema, you have issues and you need to fix it, pia acha kuchezea taaluma adhimu ya utabibu, utabibu una miiko yake kajikumbushe tena.
Ok
 
Dr tunampimaje kwamba ni mgonjwa ? Au kwavile amesema ameenda mbinguni na hizo illusion zake zingine? Je kina Jesus na Muhamad nao walikua wagonjwa wa akili? Maana nao walikua na mambo kama hayo ya zumaridi.

Wale wanaokanyagisha watu mafuta ya upako je sio dalili kama za Zumaridi?

Ama ugonjwa wa akili unaendana na ni kitu gani tunachoamua kukubali
The first person to question Jesus sanity was psychologist Charles Binet-Sangle he suggested that Jesus was suffering from religious paranoia

Swali lako ni ngumu sana sababu linagusa Imani yangu pia na hata mama nlivyosoma hio research ya binet nliachwa na taharuki

Lakini kwa sababu Lengo langu si kuzua taharuki nahisi tuishie hapa
 
Dr tunampimaje kwamba ni mgonjwa ? Au kwavile amesema ameenda mbinguni na hizo illusion zake zingine? Je kina Jesus na Muhamad nao walikua wagonjwa wa akili? Maana nao walikua na mambo kama hayo ya zumaridi.

Wale wanaokanyagisha watu mafuta ya upako je sio dalili kama za Zumaridi?

Ama ugonjwa wa akili unaendana na ni kitu gani tunachoamua kukubali
Lakini nitajaribu kujibu swali
(huenda jibu langu likawa sio sahihi utaushirikisha ubongo wako pia katika hili) kwanza in normal circumstance mtu akija hospitali akisema nmeongea na mungu hio tunachukulia kawaida, but mtu akisema Mungu ameongea na mimi tunaanza kuweka warning signs note those two words Mungu ameongea na mimi vs nmeongea na mungu

Kwasababu psychological studies zinaitambua religion ( religion ni either protecting factor au precipitating factor kwenye magonjwa mengi ya akili ) kwa sababu tunaitambua dini tutajiuliza au tutamuuliza mungu ameongea nini na wewe majibu atakayotupa yatatuthibitishia of this is a matter of faith or a matter of psychological problem Mfano mtu akisema mungu amesema nichome nyumba yangu Kuna mapepo na Mfano mtu akasema nmeoneshwa na Mungu niombee Familia yangu Kuna vitu vibaya vinaweza ikuta na huyo mtu anafunga kuomba na kufunga kwake hakuharibu maisha ya kawaida ya wengine au ya kwake (huyu ni normal na yule wa kwanza ni abnormal)

So coming to answer your question maneno ya yesu yaliendana na matendo yake he healed people, he transformed people's lives his grandiose words were seen plainly in normal life he was justifying his egoistic words ( Mwamba ) Yesu in short aliyoyasema yaliendana na aliyokua anayafanya that's why he has followers who believes in him
Mfano baada ya kufa siku ya Tatu Mwamba amefufuka hayupo kabisa

Coming to Zumaridi questions she may be saying the truth for us believers tunaamini Kuna watu wanapatwa na hayo mafunuo but coming to look on her presentations Sasa kwenye surface it's completely abnormal
Whatever else you think of Jesus, he was a spiritual dynamo with incredible wisdom and heart. He could transform people’s lives with a look or a touch, vipi kuhusu the priestess Zumaridi we are talking here about?

I hope I have answered you well
Have a good and productive day out there
 
NI VIZURI IELEWEKE,ZUMARIDI HANA TATIZO. RATIZO JI WALE WAFUASI WAKE. HAO NDIO WAKUWAONEA HURUMA,KUWASIKITIKIA. UWEPO WA WAKINAZUMARIDI NI ISHARA TOSHA, TAIFA LINA WAJINGA WENGI HATA BAADA YA MIAKA 62 YA UHURU.
People needs something to hold on and that's the problem
 
Back
Top Bottom