mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Uyo jamaa wako yuko kama mimi tu.
Mie kuzulula sjui kijiweni siwezi. Me nikitok job ni nyumbani na I work from home. Siwez kutoka kuzulula tu bila sababu ya msingi.
Na kama natoka basi nakua na lengo maalum, mfano naenda sehemu fulani kufanya kitu fulani then narudi zangu home immediately. Weekend nakua home na siku zozote siendi job nashinda home hata siku kadhaa fresh tu
Mimi ni mpenzi wa Volleyball so jioni saa 11 mpaka sa 1 nakua kucheza Volleyball. Mida unaobaki (ukiondoa job) nakua zangu home na mama chanja wangu.
Kuhusu nyimbo mie nina nyimbo zangu chache kila siku lazima nisiskilize
Hizi nyimbo nafuatisha kwa kuimba kabisa, naeza kaa kimya nyimbo zote ili zikfika hizo lazima niimbe na nafurahia sana.
So kwa upande wangu sioni shida ya jamaa.
Mie kuzulula sjui kijiweni siwezi. Me nikitok job ni nyumbani na I work from home. Siwez kutoka kuzulula tu bila sababu ya msingi.
Na kama natoka basi nakua na lengo maalum, mfano naenda sehemu fulani kufanya kitu fulani then narudi zangu home immediately. Weekend nakua home na siku zozote siendi job nashinda home hata siku kadhaa fresh tu
Mimi ni mpenzi wa Volleyball so jioni saa 11 mpaka sa 1 nakua kucheza Volleyball. Mida unaobaki (ukiondoa job) nakua zangu home na mama chanja wangu.
Kuhusu nyimbo mie nina nyimbo zangu chache kila siku lazima nisiskilize
- iyo by diamond
- enemy solo by awilo x p square
- sifa - by light bearers
- upendo by light bearers
Hizi nyimbo nafuatisha kwa kuimba kabisa, naeza kaa kimya nyimbo zote ili zikfika hizo lazima niimbe na nafurahia sana.
So kwa upande wangu sioni shida ya jamaa.