Hivi huyu rafiki yangu anaweza kuwa mtu wa aina gani?

Hivi huyu rafiki yangu anaweza kuwa mtu wa aina gani?

Hili jambo linaua sana diversity na creativity na hatimaye kufanya watu wazidi kuwa masikini.

Hata bishara tunagezana sana, watu kuanzisha vitu vipya ni vigumu.

Hata serikalini, ukianzisha kitu kipya kinaweza kupibwa kwa sababu ni kipya tu, bila hata kujali faida zake.
Sure Jombaa. Sorry OP for hijacking your thread.

Changamoto alizopita mwanzilishi wa NALA kampuni ya kutuma pesa kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine ilimpelekea mpaka kupeleka makao makuu kuhamishia Kenya. Huu ni mfano halisi wa jambo ulilozungumza hapo juu.

Angalia kituko kuhusu BoT kuna vibali vya aina moja inachukua benki kuu ya Uingereza siku moja kuvipata hivyo hivyo kwa benki kuu ya Marekani, Kenya na Uganda vinachukua siku 10 za kazi pekee. Kwa upande Rwanda na Burudi ni siku 14 ila kwa Tanzania ni miezi 6.
 
Sure Jombaa. Sorry OP for hijacking your thread.

Changamoto alizopita mwanzilishi wa NALA kampuni ya kutuma pesa kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine ilimpelekea mpaka kupeleka makao makuu kuhamishia Kenya. Huu ni mfano halisi wa jambo ulilozungumza hapo juu.

Angalia kituko kuhusu BoT kuna vibali vya aina moja inachukua benki kuu ya Uingereza siku moja kuvipata hivyo hivyo kwa benki kuu ya Marekani, Kenya na Uganda vinachukua siku 10 za kazi pekee. Kwa upande Rwanda na Burudi ni siku 14 ila kwa Tanzania ni miezi 6.
Dah, hatari sana mkuu.

Asante kwa kuweka wazi haya mambo kwa takwimu.

Inawezekana watu wengi wasione muunganiko wa mambo yote haya, lakini kuna uhusiano mkubwa.

Mimi naona hatuja hijack thread ya OP, tumepanua mazungumzo na kwenda kwa kina kuonesha pembe nyingine za jambo alilolianzisha OP.

Inabidi tu normalize watu kuwa tofauti, si lazima wote tufikiri na kuishi sawa.
 
Mapenzi na muziki Hayana Lugha ,Haitaji kujua lugha yeyote kuelewa na kuupenda mziki au kumpenda mtu ,Sababu mziki ni Hisia na mapenzi pia nayo hisia ..Kwahiyo mtu kupenda mziki asiojua maana yake si sababu ,Na hivyo hivyo kwenye upendo hakuhitaji Lugha kumwelewa mtu anayekupenda au kumwelezea mtu unampenda
 
Hiyo tabia hata mimi naifahamu mkuu.
Faida zake ni nyingi kuliko hasara kwa sababu kufanya hivyo hujiepusha na mambo mengi na ushawishi mbalimbali.
Watu wa aina hiyo huwa hawapendi makelele kutoka kwa watu wengine kwani huwa inawapa interference.
Faida nyingine ya watu wa hivi huwa wanafocus sana future/long term plans na huwa zinakuja imagination za success kichwani mwao jinsi itakavyotokea in future so kujichanganya na watu huwa wanahisi itamdisturb kisha itamtoa nje ya reli ya mipango yake.
Kutokana na hilo ili kupunguza athari ya upweke alionao ndio anatafuta kitu cha mbadala cha kumliwaza kama mziki ila aupendao ambao utagusa hisia zake na si kila mziki utamfaa,ukimbadilishia mziki usiogusa hisia zake pia atachukizwa na kuhisi makelele.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimekuelewa vizuro sana nashukuru sana ila hawa introvert basi wanazingua yani akikaa na sisi washikaji zake kwa dk kadhaa tu eti mipango yake itaferi hii dharau hii . Kwanza huyu jamaa yangu sidhani kama ata anahii mipango mimi najua dharau tu imemjaa ili aonekane yeye special kumbe hamna kitu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimekuelewa vizuro sana nashukuru sana ila hawa introvert basi wanazingua yani akikaa na sisi washikaji zake kwa dk kadhaa tu eti mipango yake itaferi hii dharau hii . Kwanza huyu jamaa yangu sidhani kama ata anahii mipango mimi najua dharau tu imemjaa ili aonekane yeye special kumbe hamna kitu
Sio dharau ndio nature yao iko hivyo pia ni wa siri wa mambo yao ukitaka kujua hilo wewe muhesabie miaka 5 mbele kuanzia sasa atakuja kukushangaza kitu hutoamini na utajiuliza maswali mengi sana halafu utamlaumu dah inakuwaje mshikaji katusua bila hata kunishirikisha mimi mshikaji wake wa karibu sasa alimshirikisha nani mipango yake.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ni tabia ambayo hata mimi ninayo ngoja nisome nione kama ni tatizo au siyo tatizo nisije nikalea maradhi bila kujua.

Ila mimi nina tofauti kidogo,ikitokea verse fulani imenigusa sana nitai-rewind zaidi hata ya mara 20 then nikichoka nauacha wimbo huo huo baada ya muda nafanya tena vile vile ku-riwind.
 
Ni tabia ambayo hata mimi ninayo ngoja nisome nione kama ni tatizo au siyo tatizo nisije nikalea maradhi bila kujua.

Ila mimi nina tofauti kidogo,ikitokea verse fulani imenigisa sana nitai-rewind zaidi hata ya mara 20 then nikichoka nauacha wimbo huo huo baada ya muda nafanya tena vile vile ku-riwind.
Mkuu,

Jaribu kujisoma ili ujielewe.

Ila kibongobongo hata kama unatumia mkono wa kushoto na jamii imezoea kutumia mkono wa kulia utaambiwa una majini.

Hatupendi watu kuwa tofauti.
 
Mkuu,

Jaribu kujisoma ili ujielewe.

Ila kibongobongo hata kama unatumia mkono wa kushoto na jamii imezoea kutumia mkono wa kulia utaambiwa una majini.

Hatupendi watu kuwa tofauti.
Hakika umenena.

Napitia post moja baada ya nyingine naweza nikatoka na kitu.
 
Habari zenu wakuu?? Natumaini mpo salama kabisa. Okay mimi siyo muanzisha mada humu mara kwa mara ila mara nyingi nimekuwa napenda sana kusoma tu mada, story hata visa mbalimbali viinavyolweta na baadhi ya wadau wenzetu na kama itatokea nikaguswa sanaa basi mara moja moja huwa natupia comment ili mambo yawe swadakta kabisaa.

Sasa bwana mimi mwenzenu nina rafiki yangu (mwanaume ) ambaye huwa tunapeana michongo ya hapa na pale ili maisha yasonge, japo urafiki wetu una muda kidogo lakini mimi mwenzenu kuna kitu huwa sikielewi juu ya huyu mtu, huyu jamaa kama hamna mishe yeye ni mtu wakuchill sanaa ndani mpaka kuna muda huwa namuuliza " we jamaa hivi kukaa ndani peke yako huchoki??" .. yeye atakujibu mbona kawaida tu mkuu .( Hanywi pombe, hashabikii mpira kabisaaaa hata draft siyo mchezaji ni mimo ndiyo huwa namvuta twende kijiweni tukapige danari maana nipo vizuri mno kwenye huu upande basi atakuja tu na kuwa mtazamaji )

Sasa tisa kumi kilichonifanya mpaka nije humu kuwauliza ni hili, ukiachilia mbali kukaa ndani muda mrefu pekee yake. Ana tabia ya kupenda sana kusikiliza muziki, ila sasa yeye usikilizaji wake ndiyo unaonishangaza sana na nakaona nije niwaulizeni . Yaani anaweza kuplay wimbo mmoja tu huo huo akausikiliza hata kwa masaa matano mfano kuna wimbo wa costa titch unaitwa big flexa hapa naandika nimemuacha ameuplay huu wimbo, lakini nje na hapo ni mwezi sasa amekuwa akiusikiliza huu huu non -stop hata kwenye simu yake kama utaangalia most played song ni huu huu nilioutaja hapa, kabla ya hapo alikuwa anausikiliza wimbo unaitwa Dwala lam msaanii anaitwa Dj ksb . Tisa kumi namjua vizuri tu lugha anayoifahamu vizuri ni kiswahili na kiingereza cha tia tia maji ila sasa hizi nyimbo anazozisikiliza ni za kizulu hivyo najua kabisa haelewi kiimbwacho humo ... Miaka yake ni 27 kwa sasa.

Sasa je hii hali ni kawaida??. Maana mimi najua humu kuna watu mbali mbali ambao pengine mmeweza kukutana na watu wa namna hii na mkaweza kuwaelewa bila shida, naombeni na mimi mnisaidie maana kuna wakati nahisi mwenzangu anapitia wakati mgumu lakini nimeshindwa kujua, lengo ni kujaribu kumsaidia huyu ndugu yangu.. au ili niweze kumuelewa.

Asanteni

Hatumii Username na Avatar yako [emoji848]
 
Kwa nini unaona mtu kukaa ndani ni kuharibika?

Kuna watu ma genius wanakaa ndani wakifanya kazi zao zinazosaidia sana dunia.

Mfano, hii mitandao na mambo mengi ya computer yanatengenezwa na computer programmers ambao ni watu wa kukaa ndani sana wakifanya kazi zao za coding.

Na hao ndio wamekusaidia mpaka ukapata JF, Whatsapp, Facebook etc.

Ukaweza kutuma pesa kirahisi kwa miamala ya simu.

Sasa inakuwaje ukasema kirahisi kwamba kupenda kukaa ndani ni kitu kibaya?
Nje ya mada hapa tunazungumzia kwa upande wa Tanzania sio dunia nzima.
 
Aloo na ndyo maana mimi jamiiforum napapenda sanaa , hebu ongezea maelezo kidogo. Inaonekana unaozoefu mkubwa na hawa watuu , hapa nimeanza kupata mwanga jee hii tabia haina madhara kweli kama mtu labda atakapokuja kuoa maana kwangu mimi naona kama siyo tabia ya kawaida hii
Mkuu huyo jamaa ni kama Mimi tu, wimbo uki-catch feeling zangu naweza sikiliza hata siku mbili Yenyewe tu.. nafeel comfortable sana kuwa alone sometime. Naweza kushinda ndani hadi jioni. Mfano mzuri Leo. Nimeamka saa 10 kwenda kutafuta Msosi tu
 
Habari zenu wakuu?? Natumaini mpo salama kabisa. Okay mimi siyo muanzisha mada humu mara kwa mara ila mara nyingi nimekuwa napenda sana kusoma tu mada, story hata visa mbalimbali viinavyolweta na baadhi ya wadau wenzetu na kama itatokea nikaguswa sanaa basi mara moja moja huwa natupia comment ili mambo yawe swadakta kabisaa.

Sasa bwana mimi mwenzenu nina rafiki yangu (mwanaume ) ambaye huwa tunapeana michongo ya hapa na pale ili maisha yasonge, japo urafiki wetu una muda kidogo lakini mimi mwenzenu kuna kitu huwa sikielewi juu ya huyu mtu, huyu jamaa kama hamna mishe yeye ni mtu wakuchill sanaa ndani mpaka kuna muda huwa namuuliza " we jamaa hivi kukaa ndani peke yako huchoki??" .. yeye atakujibu mbona kawaida tu mkuu .( Hanywi pombe, hashabikii mpira kabisaaaa hata draft siyo mchezaji ni mimo ndiyo huwa namvuta twende kijiweni tukapige danari maana nipo vizuri mno kwenye huu upande basi atakuja tu na kuwa mtazamaji )

Sasa tisa kumi kilichonifanya mpaka nije humu kuwauliza ni hili, ukiachilia mbali kukaa ndani muda mrefu pekee yake. Ana tabia ya kupenda sana kusikiliza muziki, ila sasa yeye usikilizaji wake ndiyo unaonishangaza sana na nakaona nije niwaulizeni . Yaani anaweza kuplay wimbo mmoja tu huo huo akausikiliza hata kwa masaa matano mfano kuna wimbo wa costa titch unaitwa big flexa hapa naandika nimemuacha ameuplay huu wimbo, lakini nje na hapo ni mwezi sasa amekuwa akiusikiliza huu huu non -stop hata kwenye simu yake kama utaangalia most played song ni huu huu nilioutaja hapa, kabla ya hapo alikuwa anausikiliza wimbo unaitwa Dwala lam msaanii anaitwa Dj ksb . Tisa kumi namjua vizuri tu lugha anayoifahamu vizuri ni kiswahili na kiingereza cha tia tia maji ila sasa hizi nyimbo anazozisikiliza ni za kizulu hivyo najua kabisa haelewi kiimbwacho humo ... Miaka yake ni 27 kwa sasa.

Sasa je hii hali ni kawaida??. Maana mimi najua humu kuna watu mbali mbali ambao pengine mmeweza kukutana na watu wa namna hii na mkaweza kuwaelewa bila shida, naombeni na mimi mnisaidie maana kuna wakati nahisi mwenzangu anapitia wakati mgumu lakini nimeshindwa kujua, lengo ni kujaribu kumsaidia huyu ndugu yangu.. au ili niweze kumuelewa.

Asanteni
Unatoa siri za kambini wewe, mwenzio yuko kwenye kozi ya CHAPUTA afu unataka akuoneshe mbinu zinazompagawisha hadi ashinde ndani pekeyake kutwa nzima kama Mwali?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Watu hatufanani mkuu Kuna watu tunapenda kua peke yetu haitusumbui Ila Mara nyingi inawasumbua wanaotuzunguka nakumbuka nikiwa primary Sina hili Wala like mama akaja akaniuliza eti una shida gani? Nikamwambia sina shida yoyote akaniambia mwalimu Fulani kaja kamuambia nitakua na tatizo la kisaikolojia kwa sababu ni mkimya Sana na sishirikiani na wenzangu kwa hiyo wanipeleke kwa mtaalam wa saikolojia nilishangaa maana Mimi nilikua najiona naongea tu vizuri na nacheza na wenzangu vizuri, hatukuongelea Tena Hilo suala mpaka nilivyojua mkubwa Ila mpaka Sasa hivi kila hatua ya maisha niliyopita comment huwa Ni zile zile utasikia we mpole,. we mkimya, mwingine anakuuliza hivi huwa unaongea kweli? Mbona unapenda kujifungia fungia, Kuna siku kazini mtu aliniambia watu wa aina yako ndio huwa wanajinyonga bila taarifa nikashangaa Sana maana sijawahi kwa na mawazo hayo hata.
Inabidi watu mjifunze kua binadamu hatufanani kitabia na Mara nyingi huwa mnaproject hisia zenu yaani Kama wewe ukikaa ndani muda mwingi unakua na stress unahisi kila anayekaa ndani ana stress hapana sio wote wako hivyo.
Yaani Kuna kipindi nikiwa chuo nilianza Hadi kujifunza tabia ambazo Sina ili tu nisiambiwe mpole sijui mkimya sijui nini baadae nikashindwa nikajua tu this is who I am kwa hiyo siku hizi naishi tu Kama mimi.Mtu alikiniuliza mbona mkimya Sana , mbona huongei namwambia naongea sana hujanifahamu tu vizuri.
Kwa watu tunaopenda kusoma mtu kukaa ndani peke yako si ajabu.

We are comfortable in our own company, maybe with a book to engage our minds.

Nakumbuka darasa la nne niliazimwa kitabu cha Willy Gamba cha Njama.

Sasa mtaani kwetu watu walikuwa wanaoenda dana kusoma riwaya za Aristablus Elvis Musiba za jasusi Willy Gamba, halafu vitabu vichache vinatembea nyumba hadi nyumba.

Basi niliazimwa kitabu nikaambiwa nikisome kwa siku moja tu nikirudishe.

Aliyeniazima alijua siku moja maana yake kaniazima leo asubuhi nitamrudishia kesho.

Nilikisoma kile kitabu siku ile kuanzia asubuhi mpaka jioni, jioni yake nikamrudishia nishamaliza kusoma.

Jamaa hakuamini speed yangu ya kusoma.

Sasa mtu hapa napiga piano, hapa naangalia movie, hapa nina games, hapa nina gym ina mazagazaga yote, hapa nina computer network with servers, laptops, desktops, including a Plex server, movies za Netflix na Prime just to mention a few, hapa nina library ina vitabu zaidi ya 10,000, hapa nina bar ina vinywaji vya kila aina, hapa nina music systems ambazo zinatosha kufungua nightclubs kadhaa, complete with DJ sets, all tye way to the garage, hapo natoka nje kufanya nini bila mpango maalum?

Na hata nikiamua kutoka nje natoka nyuma kwenye kwenye deck nina grill nyama choma ninavyotaka, nikitaka kuongea na watu nina simu ina unlimited internet, ambayo hata siitumii kwa sababu nina Wifi, hapo natoka kwenda wapi bila shughuli maalum?
 
Hiyo ni kawaida sana tena huyo jamaa tunaendanda sana mm ndivyo nilivyo, siyo nyimbo tu mm hata beat naweza nkasikiliza hata week nzima
 
Back
Top Bottom