Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣 Kwamba kadri muda unavyoenda wanaume wamenza kubadilika na kuwa wanawake ??zama zimebadilikaView attachment 2645715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Kwamba kadri muda unavyoenda wanaume wamenza kubadilika na kuwa wanawake ??zama zimebadilikaView attachment 2645715
Huyo ni introvert, watu ambao hawapendi kujichanganya na wengine. Wanapenda kuwa wenyewe kufanya mambo yao kivyao bila kushirikiana na watu.Mkuu kazi zetu sisi ni kujenga sasa msimu wa mvua umekuwa siyo msimu rafiki sana kwa shughuli zetu hizi basi ni wakati huu ndyo nilipokuja kulijua hilii juu ya rafiki yangu huyu wakati huu muda mrefu tumekuwa tukitumia akiba zetu kuweza kuishi kama ni kazi basi huwa moja moja sanaa
Hiyo tabia hata mimi naifahamu mkuu.Aloo na ndyo maana mimi jamiiforum napapenda sanaa , hebu ongezea maelezo kidogo. Inaonekana unaozoefu mkubwa na hawa watuu , hapa nimeanza kupata mwanga jee hii tabia haina madhara kweli kama mtu labda atakapokuja kuoa maana kwangu mimi naona kama siyo tabia ya kawaida hii
Uko sahihi mkuuHii tabia wakati mwingine inachangiwa na malezi kwa kiasi kikubwa, kuna wazazi wasiopenda kabisa watoto wao wakacheze mbali na nyumbani, hawa muda mwingi wa makuzi yao wanakuwa kwenye mazingira ya nyumbani pekee.
Hivyo hawa hata wakikua, wakaanza kujitegemea, kwasababu walishazoea mazingira ya nyumbani, kutokwenda mbali, kuzungukwa na waliowazoea kila siku, inakuwa ngumu kwao kuja ku adopt ukubwani, japo baada ya muda wengine huanza kubadilika taratibu.
Wengi aina hii mara nyingi hata confidence huwa hawana, wanakuwa wenye aibu, wasioweza hata kukaa mbele ya wengine, mara nyingi hupenda palipo na wengi, wao wawe nyuma tena ikibidi hata uwepo wao usitambulike, pia huwa na maneno machache waliotawaliwa na tabasamu la muda mfupi wakiongea vichache vyao.
Hali ya kawaida sana, Sikia huu wimbo, utaachaje kurudia kuusikiliza! ( japo kinachoimbwa hakieleweki)Sasa je hii hali ni kawaida ??.
"Todzungaira" is a traditional Zimbabwean song that has been performed by various artists. One such performance is by Hope Masike, featuring Abel Mafuleni, filmed Live Outside in Cahuita, Costa Rica. The song was performed to celebrate International Women’s Day ¹. Another performance of the song is by the marimba group Chapwititi from Kutsinhira Cultural Arts Center
Huyo naye ana watu wanaopenda watu wa hivyo, kwa hiyo kwenye kuoa, anaweza kupatana na mtu anayependa watu wa hivyo.Aloo na ndyo maana mimi jamiiforum napapenda sanaa , hebu ongezea maelezo kidogo. Inaonekana unaozoefu mkubwa na hawa watuu , hapa nimeanza kupata mwanga jee hii tabia haina madhara kweli kama mtu labda atakapokuja kuoa maana kwangu mimi naona kama siyo tabia ya kawaida hii
Katika mambo ya imani upo sahihi , ila kumbuka huyu ni mwanaume maisha ya kukaa kaka ndani awaachie wanawake , lakn pia katika mambo ya imani huko huko hakuna jambo (jaribu ) ambalo mwanadamu anakutana nalo likawa nje ya uwezo wake hivyo basi elewa hata hivi vishawishi vyote ulivyovisema au qWakati mwingine ni vizuri kujipumzisha ndani kuliko kutoka kisha ukajikuta una tenda dhambi kwa kutazama hivyo vya Nje.
Imagine kumtazama Mwanamke kwa kumtamani umeshazini naye, kumbuka hapo Mjini Wadada wasivyopenda kuvaa nguo za ndani si utajikuta umezini na Dsm yote😜
Ndiyo maana jamaa ana epuka dhambi ndogo nndogo kwa kushinda ndani tu
Sawa Lakini hebu niambie ungekuwa jobless kama huyu jamaa yangu niliyekusimulia hapo juu je kuishi namna hii uishio wewe ingefaa kweli ??Mi nadhani ni kawaida tu mfano mimi toka nimetoka kazini ijumaa nimetoka jana kuangalia mechi ya Manchester basi nimerudi hapa toka niamke sijagusa hata mlango, nimekunywa chai, napika, naangalia movie nalala.
Yani kifupi leo nje sigusi kabisa. Huwa kama sina ishu yoyote sitoki hata mlango sifungui[emoji2].
Labda tuna shida ila naonaga nakua na amani kuliko kutoka huna cha kufanya mkaishia kugombana au kurushiana maneno huko mtaani sipendi. So huwa nadownload movie zangu au series weekend namalizia ndani kama Manchester au simba haichezi sahau kuniona nje.