Hivi huyu rafiki yangu anaweza kuwa mtu wa aina gani?

Uyo jamaa wako yuko kama mimi tu.

Mie kuzulula sjui kijiweni siwezi. Me nikitok job ni nyumbani na I work from home. Siwez kutoka kuzulula tu bila sababu ya msingi.

Na kama natoka basi nakua na lengo maalum, mfano naenda sehemu fulani kufanya kitu fulani then narudi zangu home immediately. Weekend nakua home na siku zozote siendi job nashinda home hata siku kadhaa fresh tu

Mimi ni mpenzi wa Volleyball so jioni saa 11 mpaka sa 1 nakua kucheza Volleyball. Mida unaobaki (ukiondoa job) nakua zangu home na mama chanja wangu.

Kuhusu nyimbo mie nina nyimbo zangu chache kila siku lazima nisiskilize
  • iyo by diamond
  • enemy solo by awilo x p square
  • sifa - by light bearers
  • upendo by light bearers

Hizi nyimbo nafuatisha kwa kuimba kabisa, naeza kaa kimya nyimbo zote ili zikfika hizo lazima niimbe na nafurahia sana.

So kwa upande wangu sioni shida ya jamaa.
 
Huyu ni mie kabisa. [emoji23][emoji23]
 
[emoji625][emoji625]
 
Dah nkajua unaniongelea
Kumbe sio mimi
Mimi napenda mpira ila ni yanga tu!
Mipira ya nje napenda matokeo tu hasa ya match ngumu zenye kuongeleka
2 nkiipend nyimbo moja nta play hiyo hadi ikome
Wakati mwingine utakuta ni ya zamani sana
Mfano now nipo na ya darasa ft sani boy sogea 🔥
 
Inatokea tu mkuu coz me binafsi kama cna kinachoweza nitoa nje ya Nyumba bas nitakaa ndani ninashinda na boxer, Milango sifungui na hata chakula napigia boda alete mtaani yaani ni kuangalia latest movies na series na nikichoka nitacheza Ps5 na game ninayopenda kucheza sana ni Ghost of Tsushima... So hapo ni mpaka night na next day ikiwa haielewek basi ni the same routine na sichoki
 
Naungana na wewe mkuu
 
NWewe huyo sio rafik yako... Yeye anakujua ila wewe humjui... Yeye anakuelewa wewe humuelewi... Inshort achana na maisha yake fanya yako... Hana shida yoyote INTROVERT huyo
Ni kweli mkuu INTROVERT ni wepesi kuwasoma , na kuwajua watu
Kinyume chake ss kuwaelewa wao ,😁
 
Huyu Ana tabia Kama za wajomba zangu wawili wote Sasa ni marehemu Mungu azilaze roho zao mahali pema,na hiyo tabia wamemrithisha mtoto wa dada yangu kuanzia asubuhi mpaka jioni husikii sauti yake kimya anacheza game na kusikiliza music akitoka mazoez akirudi ndani kimya hila bwana juzi Kati nimegundua ni mvutaji mzur wa bangi baada ya kunyatia mlangoni kwake usiku wa manane na kukutana na harufu ya bangi Zaid ya Mara mbili
 
Exactly, kuna personality nying sana. Ila coz of societal norms watu wengi wameishia kudhoofishwa coz wana act tofauti na wengine. Mm binafs siwez jichanganya sana na watu, hua inashasha energy level zangu.

Watu watakulable kila aina ya uchafu wanaohisi unakufaa coz upo tofauti na wao. It's si insane
 
Nimepigia mstari. Hii ndiyo fact kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…