Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,795
- 9,143
Wanabodi.
Mpaka sasa Arsenal ameshakula 5, ukiangalia mipango ya huyu mtu anajiita kocha ni ile ile miaka yote iliyopita. Anafungwa kabla hajaingia uwanjani kinachobaki ni kujua tu goli lakini uhakika unajua kabisa wanafungwa ngapi.
Kwanini asiache hii timu? Anajisikiaje kung'ang'ania kitu hakiwezi?
Mpaka sasa Arsenal ameshakula 5, ukiangalia mipango ya huyu mtu anajiita kocha ni ile ile miaka yote iliyopita. Anafungwa kabla hajaingia uwanjani kinachobaki ni kujua tu goli lakini uhakika unajua kabisa wanafungwa ngapi.
Kwanini asiache hii timu? Anajisikiaje kung'ang'ania kitu hakiwezi?