Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #21
Niulize mara ngapi sasa? Au hujui kusoma na kukielewa ulichokisoma?"Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?
Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi."
Kweli kwa akili zako. Ila ziko chini sana. Ungeuliza ufafanuliwe.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Usalama wa Taifa kwa TZ kwanza ni wachache sana.Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.
Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.
Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.
Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!
Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!
Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?
Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?
Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.
Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.
Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.
Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.
Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?
Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.
Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Tunaishi kwenye jamii ambayo haiwezi kuhoji kuanzia ngazi ya familia , ngazi ya kitaifa tunaambiwa tuhoji kwa staha aliyeiba pesa nyingi aitwe fisadi .Kwakifupi ukimfundisha mtu kitu leo kesho yake hakijui ukimuliza anakwambia mwalimu hujatufundisha ukimwambie afungue daftari lake anakishangaa amekiandika mwenyewe .Hata ukiwasikiliza wanaobishana mitaani hawabishani kwa hoja yaani uelewa wa watu wengi ni mdogo sana cha ajabu wanajiamini sana hata kama anachoongea ni pumba tupuSiyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.
Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.
Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.
Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!
Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!
Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?
Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?
Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.
Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.
Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.
Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.
Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?
Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.
Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Wanalima mpunga huko dakawa na ifakara kila siku tunakuta nao mashambaniMi najiuliza tuu hadi huu ubadhilifu unafanyika ngazi ya halimashauri wao ofisi ya DSO huwa ipo busy na majukumu gani?
Naona leo umeamua kuwanyookea wananchi kea kweli 🙂Na wananchi hao hao ndo wanaamua bidhaa gani wanaipenda!
Ndo ukweli wenyewe huo.Naona leo umeamua kuwanyookea wananchi kea kweli 🙂
Unafaham ujasusi wa kiuchumi??Hata humu JF wamo wanachungulia tunayoyaandika.
Kama jina linavyojieleza,wao ndo chanzo kikuu cha hali halisi ya nchi. Binafsi nahisi ni kwa sababu wao wana uwezo mkubwa wa kufikia kila aina ya taarifa inayohitajika na kufikishia taasisi husika.
Umeongelea bidhaa mfano za Kenya.
TRA ina kazi ya kudhibiti magendo. Waonapo bidhaa za Kenya madukani,hakika wana wajibu wa kujua zimeingiaje. Kwa maana ushuru umelipwa? Maana zikiingia kiholela,mapato ya serikali hamna. Na ikiwa hivo,hata siraha na ujangili na mambo mengine ya ovyo yatapita njia hio.
Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa: TBS ni kitengo cha taifa chenye jukumu la kusimamia ubora wa bidhaa watumiazo raia. Mfano nchi furani imeingiza kinywaji ambacho kinaweza kuwa na madhara kikitumiwa. Si alietengeneza anataka tu hela? Madhala yake kumbuka yataighalimu serikali. Kwa hiyo usalama wa taifa wanahusika kila kona uijuayo. Ni siri zao sisi hazituhusu,lakini utakuta kwenye kila tuhuma, na wenyewe wapo.
Hapana. Hayo mambo siyajui nimetoa tu maoni yangu. Huenda yasiwe sahihi,na mi ntajifunza kupitia comments za wengineUnafaham ujasusi wa kiuchumi??
Kwa kifupi ukiona taifa lolote linayumba ujue Idara ya usalama ipo hoi na ndiyo maana kazi ya kwanza ya Rais akiingia ofisini asubuhi anaanza na faili la TISS.Sidhani kama wanadhibiti kila sehemu ya maisha yangu.
Mnawapa sifa ambazo hawana.
Mambo ya Yeriko Nyerere haya, atakuja muda si mrefu kutoa jibu...Unafaham ujasusi wa kiuchumi??
Yeriko Nyerere ameandika kitabu kwa ujasusi, labda hawajamsoma bado...Hapana. Hayo mambo siyajui nimetoa tu maoni yangu. Huenda yasiwe sahihi,na mi ntajifunza kupitia comments za wengine
Mossad huwa wanadili na mambo ya nyanya na biringanya magengeni na unga na sukari kwenye maduka ya mangi?Kwa kifupi ukiona taifa lolote linayumba ujue Idara ya usalama ipo hoi na ndiyo maana kazi ya kwanza ya Rais akiingia ofisini asubuhi anaanza na faili la TISS.
Ata Israel yupo pale Middle East kwasababu
ya uimara wa Mosad na USA wanatamba kwasababu ya uimara wa CIA.
Kwaiyo ata Tanzania, tatizo la kuwa na viongozi wa ovyo tatizo ni TISS maana wao ndiyo wanatakiwa wafanye vetting ya uhakika.Kama kuna bidhaa hafifu za Kenya kwenye soko la Tanzania pia tatizo ni wao TISS kuruhusu Rais kuteua Mkurugenzi Mkuu wa TBS asiye na sifa na Bodi dhaifu achilia mbali Waziri wa Biashara asiyejua Biashara na michezo yake ya kihuni.
Kwa mfano;kama TISS wangekuwa strong Mwigulu asingekuwa Waziri wa fedha na wala Kitila Mkumbo asingekuwa Waziri wa Mipango kwasababu hawana rekodi yoyote ya kuwai kufanya Biashara yoyote walau ata kuwa ata Business consultants.Unamuachaje mtu kama Dr Charles Kimei kwenye Cabinet na unawapa kipao mbele akina Kitila Mkumbo?
"Information is power"
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mkuu hujawai kusikia sukari au Mchele usiofaa kwa matumizi ya Binadamu umekamatwa?Mossad huwa wanadili na mambo ya nyanya na biringanya magengeni na unga na sukari kwenye maduka ya mangi?
We junya kweli!Mkuu hujawai kusikia sukari au Mchele usiofaa kwa matumizi ya Binadamu umekamatwa?
Wewe un
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Watz wengi hawana elimu pia wamekaririshwa uoga. Ndio maana Wana overate hao watu na ku fantasize .Sidhani kama wanadhibiti kila sehemu ya maisha yangu.
Mnawapa sifa ambazo hawana.
Yaaani bro inasikitisha sana. Wanachi wa tz wanajiona mafala ndio maana huku JF kila mtu anataka kua usalama wa taifaWao siyo kila kitu nchini.
Walio kila kitu nchini ni wananchi.
Bila wananchi, hakuna nchi.
Asante Kwa kufafanua hili. Wabongo wengi hawawaelwi Hawa watu ndio maana wanaoana kama super heroes flani hivi ambao wapo Kwa ajili ya kuwasave wao na nchi.Usalama wa Taifa kea TZ kwanza ni wachache sana.
Halafu Muundo wao wa kikazi ni wa kwa summary unaweza kusema umekaa KIMBEYA na KICHAWA na umeunganishwa kwa RAIS.
Kwa lugha rahisi, usalama wapo ofisi ya Rais kumsaidia Rais kwenye mambo yake na ikitokea Rais Hana mida na wao wanakuwa hivyo hivyo.
Ngazi ya Wilaya, wanasimamiwa na DSO ambao unakuta ofisini ni wachache. Kazi yao ni umbeya kutoka ofisi ya DC kwenda juu hasa RSO.
Na umbeya Mara nyingi siyo wa kusaidia nchi, ni umbeya wa Mfanyakazi fulani hakuungi mkono,anakukosoa sana, hayumo team yako ya uchaguzi.
Ujinga ujinga tu