Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Usalama wa Taifa kea TZ kwanza ni wachache sana.

Halafu Muundo wao wa kikazi ni wa kwa summary unaweza kusema umekaa KIMBEYA na KICHAWA na umeunganishwa kwa RAIS.

Kwa lugha rahisi, usalama wapo ofisi ya Rais kumsaidia Rais kwenye mambo yake na ikitokea Rais Hana mida na wao wanakuwa hivyo hivyo.


Ngazi ya Wilaya, wanasimamiwa na DSO ambao unakuta ofisini ni wachache. Kazi yao ni umbeya kutoka ofisi ya DC kwenda juu hasa RSO.

Na umbeya Mara nyingi siyo wa kusaidia nchi, ni umbeya wa Mfanyakazi fulani hakuungi mkono,anakukosoa sana, hayumo team yako ya uchaguzi.

Ujinga ujinga tu
Sasa kama ni hivyo tutafika kweli?
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Nilishangaa nilipoona stick za kuchokonolea meno (Tooth Sticks) zinatoka china, tissue yani yale makaratasi yanatoka china. Sasa hiyo financial intelligence unit sio tu kufuatilia miamala ya Chadema na wapinga serikali walipaswa wawe silaha ya kuandaa sera ya maendeleo na kushauri na kusimamia utekelezaji wake, lasivyo tutajeuzwa wategemezi na hii hasara yake tushaiona kwakua hela yetu haina nguvu tunakua forced kununua vitu nje kwa Dola mwisho wa siku ipo siku mkate tutaunuua kwa Million moja ya Tsh, usishangae maana leo hii mkate unauzwa 4000/=, wakati huo ulikua mshahara wa miezi minne wa Mwl. Nyerere alipokua Mwalimu.
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Mkenya wewe

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Nilishangaa nilipoona stick za kuchokonolea meno (Tooth Sticks) zinatoka china, tissue yani yale makaratasi yanatoka china. Sasa hiyo financial intelligence unit sio tu kufuatilia miamala ya Chadema na wapinga serikali walipaswa wawe silaha ya kuandaa sera ya maendeleo na kushauri na kusimamia utekelezaji wake, lasivyo tutajeuzwa wategemezi na hii hasara yake tushaiona kwakua hela yetu haina nguvu tunakua forced kununua vitu nje kwa Dola mwisho wa siku ipo siku mkate tutaunuua kwa Million moja ya Tsh, usishangae maana leo hii mkate unauzwa 4000/= akati huo ulikua mshahara wa miezi minne wa Mwl. Nyerere alipokua Mwalimu.
Bila Ujasusi wa kidola na Kiuchumi kufanya kazi hawa ccm watatupigisha Kwata hadi Mwisho wa Dahali.

Kule China Technolojia yao ya Uvuvi ya Mwaka 1990 iko mbele yetu kwa zaidi ya Miaka 50 mbele.

Yaani uvuvi wetu wa mitumbwi na taa za karabai hazifui dafu kwa uvuvi wa China wa Mwaka 90s.

Sasa kama CCM ina Urafiki na undugu wa tangu zamani na Kama Nchi tuna uhusiano mzuri wa Kidiplomasia( kama wanavyodai) kwa nini Ubalozi wetu na makachero wetu wasitumie fursa hii kuomba Technolojia ya China ya Mwaka 90 ambayo kwa wao ilishapitwa na wakati lakini kwetu itatusaidia sana.

Nini kinashindikana? Urafiki wetu na China ni upi hasa?

Hili kwanini hawalioni? Au wanalipuuza?

Enzi za Hayati Dr Magufuli akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi alitwambia Bahari na maziwa yetu yana samaki wengi sana ambao tangu Kuumbwa Ulimwengu hawajawahi kuvuliwa kutokana na ujuzi duni tunaotumia.

Naliombea Taifa tujikite kwenye vitu vinavyounganisha Wananchi wote na kulete maendeleo.

Kwani.africa tuna shida gani?
 
Hao jamaa wana control kila kitu unachofanya na unachotaka kukifanya na humu ndani afisa vipenyo Aka makachero wapo humu ukitaka kujua zaidi tafuta series inaitwa person of interest utajua mengi zaidi
Nyie mnadanganya sana madogo. Hao jamaa wa kawaida tu hawana hizo sifa mnazowapa. Tunaona madudu mengi sana hapa nchini wao wapo kama hawapo vile. Kifupi ni kuwa mnawabebesha mzigo ambao hawajauweza.
 
Siyo mjuzi sana wa habari za idara ya usalama wa taifa, Tanzania.

Lakini katika pitapita zangu humu JF, nimekutana na mada kadhaa zilizonishangaza kidogo.

Mtu akienda dukani akikuta bidhaa ambayo haipendi, lawama anabebeshwa usalama wa taifa.

Msanii Diamond umaarufu wake ukianza kupungua, lawama zinaenda kwa usalama wa taifa!

Timu za mpira za Tanzania zisipofanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa, lawama kwa usalama wa taifa!

Ni mimi tu ambaye sielewi dhima nzima ya usalama wa taifa au inakuwaje?

Kwa mfano, usalama wa taifa wanahusikaje na uwepo wa bidhaa za Kenya kwenye maduka ya Tanzania?

Kwa akili zangu hizi za panzi, waamuzi wa mafanikio ya bidhaa ni wateja/ wanunuzi.

Kama wateja/ wanunuzi wanaona bidhaa fulani ni bora kuliko bidhaa ingine, basi wataendelea kuiunga mkono kwa kuinunua.

Na ubora wa bidhaa sidhani kama unahusiana chochote na idara ya usalama wa taifa.

Ubora wa bidhaa unatokana na ubunifu wa mzalishaji. Mzalishaji anapotengeneza bidhaa iliyo bora halafu akaitangaza kwa umma, umma huo ndo utaamua mafanikio ya hiyo bidhaa.

Sasa kama makampuni ya Tanzania hayatengenezi bidhaa zilizo bora kutokana na kushindwa kuwa wabunifu, lawama kwa usalama wa taifa zinahusikaje?

Hmm…..yawezekana ni mimi tu na hizi akili zangu za panzi ndo maana labda sielewi.

Wajuvi na wajuzi wa mambo nijuzeni, tafadhali.
Usalama wa taifa wana viwanda vinatengeneza bidhaa hafifu ambaxo hazinunuliki, kwani wewe hujui?
 
Ni kweli HUELEWI. Na KOSA sio lako ni Usalama wa Taifa.
Idara hii ni engine ya nchi kuanzia Siasa, Uongozi, sanaa , Uchumi na kila jambo.
Fikiria vetting ya viongozi imekaa kiwizi wizi na ukabila au Makundi nani analaumiwe?.
Fikiria leo rasilimali za umma zinaibwa nani alaumiwe?.
Kila taasisi za nchi wako kule lkn hakuna kinafanyika. Nani alaumiwe?
Hii nchi imefikia sehemu kweli ya kuwa watu ni chawa wa mtu mwingine kwa kisingizio cha Uanaharakati au uchama dola na kupongeza yasio na maana.

My Take. Labda wakili kuwa hawana meno kazi yao ni kutoa taarifa na wanaowapa wanatia mfukoni. Hivyo chombo kinahitaji mabadiliko
 
Ukiona uchumi wa nchi uko stable, tambua ya kwamba,wazee wa idara ya usalama wa Taifa wamesimama vizuri katika eneo lao. Tatizo letu idara hii inachanganywa na chama Dola.
 
Ni kweli HUELEWI. Na KOSA sio lako ni Usalama wa Taifa.
Idara hii ni engine ya nchi kuanzia Siasa, Uongozi, sanaa , Uchumi na kila jambo.
Fikiria vetting ya viongozi imekaa kiwizi wizi na ukabila au Makundi nani analaumiwe?.
Fikiria leo rasilimali za umma zinaibwa nani alaumiwe?.
Kila taasisi za nchi wako kule lkn hakuna kinafanyika. Nani alaumiwe?
Hii nchi imefikia sehemu kweli ya kuwa watu ni chawa wa mtu mwingine kwa kisingizio cha Uanaharakati au uchama dola na kupongeza yasio na maana.

My Take. Labda wakili kuwa hawana meno kazi yao ni kutoa taarifa na wanaowapa wanatia mfukoni. Hivyo chombo kinahitaji mabadiliko
Hakuna lolote.

Usalama wa taifa hawahusiki na mambo ya bamia magengeni!
 
Ukiona uchumi wa nchi uko stable, tambua ya kwamba,wazee wa idara ya usalama wa Taifa wamesimama vizuri katika eneo lao. Tatizo letu idara hii inachanganywa na chama Dola.
Uchumi mzuri hautikani na usalama wa taifa!

Uchumi mzuri ni zao la sera nzuri, utawala bora, utawala wa sheria, ubunifu, uvumbuzi, na uchapaji kazi.

Sitoshangaa endapo huko CCM kuna watu wenye fikra kama zako na ndo maana tuna uchumi mbovu na tuko maskini wa kutupwa maana tunaongozwa na watu wasiojua cha kufanya.
 
Hakuna lolote.

Usalama wa taifa hawahusiki na mambo ya bamia magengeni!
Labda kama huelewi kuwa kabla bamia haijawa gengeni iliingia nchini toka Hollandi kama mbegu ya kawaida au GMO na baadae ikalimwa kwa viritubisho vya ARV lkn muuza genge ni yule mama ambaye tajiri amenunua eneo lao soko akafukuzwa sasa ana genge karibu na barabara au dampo.
Hili jina tu Usalama wa Taifa linasanifu kuwa hawana mipaka kwa ajili ya Taifa.
Au wewe unadhani ni wale wanalinda Raisi na viongozi? Hao ni kitengo kidogo ndanibya idara. Wako majeshini. Wako TRA wako taasisi zote hadi wakulima wa mbogamboga na wafugaji.
Ni hayo tu . Na log off
 
We junya kweli!

Hiyo ni dhima ya TFDA.

What is the role of TFDA in Tanzania?


The objective of TFDA is to protect the health of consumers against hazards associated with food, drugs, herbal drugs, cosmetics and medical devices.
View attachment 2804469
https://procedures.tic.go.tz › menu

Food and Drugs license from TFDA - Tanzania Investment Centre

Sawa Bwana Junya mwenzangu,mimi nafanya Biashara ya Cosmetics,wambie TIC wafanye updatio masuala ya Cosmetics and foods yapo TBS na masuala ya Drugs and medical devices yapo TFDA.
Sasa tulejee mada yetu;umo TBS na TFDA,TISS wamo kama wote kuanzia Maabara mpaka kwenye masuala management.
Mashirika yote ambayo yanadili na masuala nyeti kama Afya ya Mtanzania TISS wapo Mkuu.
Ulizungumzia nyanya,kama zinatoka nje ya nchi pia jicho la TISS lipo na kama zinazalishwa nchini basi Madawa yote yanayotumika kwenye Kilimo husika ni lazima yathibitishwe.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Labda kama huelewi kuwa kabla bamia haijawa gengeni iliingia nchini toka Hollandi kama mbegu ya kawaida au GMO na baadae ikalimwa kwa viritubisho vya ARV lkn muuza genge ni yule mama ambaye tajiri amenunua eneo lao soko akafukuzwa sasa ana genge karibu na barabara au dampo.
Hili jina tu Usalama wa Taifa linasanifu kuwa hawana mipaka kwa ajili ya Taifa.
Au wewe unadhani ni wale wanalinda Raisi na viongozi? Hao ni kitengo kidogo ndanibya idara. Wako majeshini. Wako TRA wako taasisi zote hadi wakulima wa mbogamboga na wafugaji.
Ni hayo tu . Na log off
Sasa naanza kuelewa kwa nini Tanzania ni banana Republic!

Ni kwa sababu ya ujinga kama huu.

Kudhani kuwa usalama wa taifa ndo watengeneza sera za kiuchumi.

Kudhani kuwa usalama wa taifa ni wataalamu wa uchumi na maendeleo!

Hapa tulipo kiuchumi si bahati mbaya wala si ajali.

Ni matokeo ya kutojua cha kufanya.
 
Nyie mnadanganya sana madogo. Hao jamaa wa kawaida tu hawana hizo sifa mnazowapa. Tunaona madudu mengi sana hapa nchini wao wapo kama hawapo vile. Kifupi ni kuwa mnawabebesha mzigo ambao hawajauweza.
Imbecile
 
Sawa Bwana Junya mwenzangu,mimi nafanya Biashara ya Cosmetics,wambie TIC wafanye updatio masuala ya Cosmetics and foods yapo TBS na masuala ya Drugs and medical devices yapo TFDA.
Sasa tulejee mada yetu;umo TBS na TFDA,TISS wamo kama wote kuanzia Maabara mpaka kwenye masuala management.
Mashirika yote ambayo yanadili na masuala nyeti kama Afya ya Mtanzania TISS wapo Mkuu.
Ulizungumzia nyanya,kama zinatoka nje ya nchi pia jicho la TISS lipo na kama zinazalishwa nchini basi Madawa yote yanayotumika kwenye Kilimo husika ni lazima yathibitishwe.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Wewe kweli junya.

Hata hujui tofauti ya R na L.

Hujui R uitumie wapi. Hujui L inatumika wapi.

Sasa ndo utajua dhima ya usalama wa taifa kweli?
 
Nlitaka kuandika ujinga sijui nn kiliniambia chungulia profile nakuta joined 2006 🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom