Hivi idara ya usalama wa taifa wa Tanzania inahusika na kila kitu hadi uuzaji wa nyanya na vitunguu magengeni?

Mi najiuliza tuu hadi huu ubadhilifu unafanyika ngazi ya halimashauri wao ofisi ya DSO huwa ipo busy na majukumu gani?
Kwasasa ma DSO hupanga Dili na wakuu wa idara wote including DED Kufisadi pesa za miradi mbalimbali ,unadhani kutakuwa na jipya hapo?🀣🀣🀣🀣πŸͺ‘
 
Kwasasa ma DSO hapanga Dili na wakuu wa idara wote including DED Kufisadi pesa za miradi mbalimbali ,unadhani kutakuwa na jipya hapo?🀣🀣🀣🀣πŸͺ‘
Pesa zote za zinazotoka serikali kuu, kwenye malipo lazima wawepo kuanzia DC na watu wake (Kamati ya ulinzi na usalama, akiwemo huyo DSO), halafu DED then DT (Mweka hazina) baadaye Kuna watu wa mipango na Wakuu wa Idara, hasa Mkuu wa Idara ambaye mradi unamhusu.

Na siku hizi ni wajanja wameshajua CAG anakagua COMPLIANCE na siyo wizi, kwahiyo wanakula nyuma ya mgongo watu.
 
Nadhani ni kwa sababu Watanzania tumekuwa na mentality ya kuamini kuwa Usalama wa Taifa ni Malaika wanaojua kila kitu,kiasi kwamba cho chote ambacho hakipendezi kikitokea katika Taifa letu tunaamini ni uzembe wao.
 
Nadhani ni kwa sababu Watanzania tumekuwa na mentality ya kuamini kuwa Usalama wa Taifa ni Malaika wanaojua kila kitu,kiasi kwamba cho chote ambacho hakipendezi kikitokea katika Taifa letu tunaamini ni uzembe wao.
Wabongo wengi ni WAVIVU, Wana TAMAA halafu ni WABINAFSI.

Wabongo wanapenda KUFANYIWA kila kitu. Ndio maana hata Sasa utakuta watu wanamlaumu Nyerere kwanini maji ya mgawo.

Wabongo wakisikia ,wamasai wanataabishwa na Utawala hawajali Kwasababu wanaona wao haiwahusu. Wakiona wastaafu wanaatishwa wanaona hawahusiki.

Ndio maana Watawala wanaburuza kila kundi nchi hii kwa ZAMU Kwasababu hatuwezi kuungana.

Kwetu tunachojua ni kujipendekeza na sisi tuwekwe kwenye hiyo mifumo katili na sisi TUPIGE Basi.
 
Hata nikishindwa kumpatia mimba bebe wangu lawama ziende kwao tu..

Hao ndio wapokea lawama wa taifa
 
Usalama wa Taifa wanahusika na Kila Jambo linaloendelea kwenye nchi, lakini kazi yao kubwa ni kukusanya taarifa, kuchakata na kupeleka taarifa. Wa kulaumiwa ni wale wanaopelekewa taarifa kutochukua taarifa.
Usalama wanakusanya taarifa gani?

Sana sana labda hizo wanazopelekewa na wananchi au watendaji wa kata na vijiji.


Hakuna taarifa zozote za maana
 
Usalama wa Taifa wanahusika na Kila Jambo linaloendelea kwenye nchi, lakini kazi yao kubwa ni kukusanya taarifa, kuchakata na kupeleka taarifa. Wa kulaumiwa ni wale wanaopelekewa taarifa kutochukua taarifa.
Source ya madai yako ni nini? Hisia zako tu au?
 
Nikupe mfano mdogo tu Ila usiniulize nimeutoa wapi.
Mwaka 2019/20 TISS iliasisi mpango wa Siasisha TISS, yaani TISS imiliki siasa za nchi. Waasisi na watoa wazo walikuwa TISS waliojifungamanisha na CCM. Lakini Kwa nguvu ya mamlaka wakataka ionekane Jambo hili ni Kwa faida ya Nchi likakubalika bila kujua litaleta madhara mnayoyaona Leo bungeni. Wakajipanga kutoa Wabunge wanaotokana na TISS (Kila mkoa yupo angalao mmoja). Wakijua ni kazi kufanikiwa, wakajipa kazi ya kuchapa karatasi za Kura kuanzia za udiwani Hadi Urais. Waziri Sera, uratibu na Bunge akatangaza 2020 nchi itajitegemea katika Uchaguzi.
Sina haja ya kueleza Kila kitu maana wengine mnaita Uchaguzi wa 2019+20 kuwa ulikuwa Uchafuzi. Mimi sina jina halisi la kuuita lakini nilisema TISS walifanya uteuzi wa watu waliowataka kuwa Wabunge/madiwani. Kule upinzani ulikoshinda yalikuwa makosa ya maDSO na ndo maana DSO wa Mtwara na Nkasi (CUF na CDM) tunavyoongea ni wahudumu ofisi za RSO mikoa husika.
Kwa kadhia ya Uchaguzi ule na uendeshaji wa nchi unaotokana na Uchafuzi ule, wanakosea nini wanaoilaumu TISS Kwa Kila Jambo?
 
Sabuni zetu za komoa zikowapi ,mafuta ya korie
 
Sio razima TISS wawepo ndani ya ofice yako, hata wakiwa huko nje, hao TBS, na TFDA wanaanzia huko unakosambaza kuuza.
Bidhaa imetoka kiwanda gani?
Ina ubora gani?
Je , kiwanda hiko ni halali?
Vipimo vya ujazo sawa?
Wakija kwako ujue wanakuja kuhakikisha mazingila ya kiwanda kama kimekizi vigezo.
Na hapo sasa ndio idara ya usalama nayo inaanza kukufanyia kazi kwa kile unachofanya au unachozalisha.wakiona tapeli ndio hapo utaona, unavyopigwa danadana usipoangalia utahama nchi na hutojua tatizo limeanzia wapi. Hata ungekua mkubwa kiasi gani, unapesa kiasi gani. Utashushwa. Kila kukicha TRA, kukicha TFDA, kukicha watu wa AFYA, mwisho wanamalizia police , washakupoteza tayari.

Wakenya ni wajanja sana, nao kama wachina tu, wanaweza kujifungia hata ndani kwao wanatengeneza vitu, wanapackaging, lakini bidhaa hiyo ukiifuatilia imetoka kiwanda gani hakun jibu. Kwanini isipigwe malufuku.!
 
Unaakili sana mkuu..maana umejibu kwa kuelimisha kwa njia ya beza kwamba , wao ndio watunga sera.
Na hivyo ndivyo ilivyo.
 
Usalama wanakusanya taarifa gani?

Sana sana labda hizo wanazopelekewa na wananchi au watendaji wa kata na vijiji.


Hakuna taarifa zozote za maana
Unafikiri Magufuli taarifa za ukwepaji Kodi bandarini alizitoa wapi.
 
Upepo wa Pesa
 
Unafikiri Magufuli taarifa za ukwepaji Kodi bandarini alizitoa wapi.
Taarifa gani?

Kwanza UPIGAJI nchi hii una baraka zote za juu.

Unapompa mtu cheo kwa fadhila maana yake umempa nafasi ya KULA KEKI kwa wakati huo.
 
Taarifa gani?

Kwanza UPIGAJI nchi hii una baraka zote za juu.

Unapompa mtu cheo kwa fadhila maana yake umempa nafasi ya KULA KEKI kwa wakati huo.
Hoja no usalama wa Taifa, hayo ya mengine anzisha hoja take.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…