Hivi ile hela mwanaume anayompaga mwanamke baada ya tendo inaitwaje?

Hivi ile hela mwanaume anayompaga mwanamke baada ya tendo inaitwaje?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Habari za leo wadau ebu kwa wataalam na wahenga naomba ebu tujuzane kuhusu ili jambo maana kila mtu na ujuzi wake na je unaweza kutoa kwa mkeo ndani na kwanini mke apewi hii hela baada ya tendo
 
Huitwa pesa ya sabuni. Mke hapewi kwa sababu kila siku unanunua sabuni hapo nyumbani.
 
Service charge
Kiinua mgongo
Disturbing allowance
Marupurupu
Rushwa
Zawadi
Mshahara
Kifuta jasho
Sabuni
Au tuiiteje sasa. Sielewi mpaka leo
 
Ukimpa kwa hela za Tanzania inakua inaitwa Shilingi,ukimpa kwa hela za US inakua inaitwa Dollar.
 
Habari za leo wadau ebu kwa wataalam na wahenga naomba ebu tujuzane kuhusu ili jambo maana kila mtu na ujuzi wake na je unaweza kutoa kwa mkeo ndani na kwanini mke apewi hii hela baada ya tendo
Kipozeo
 
Habari za leo wadau ebu kwa wataalam na wahenga naomba ebu tujuzane kuhusu ili jambo maana kila mtu na ujuzi wake na je unaweza kutoa kwa mkeo ndani na kwanini mke apewi hii hela baada ya tendo
Nauli
 
Back
Top Bottom