Hivi ili nawe umeliona? Nyumba za makazi Marekani na Ulaya kutokuwa na fensi ndefu

Hivi ili nawe umeliona? Nyumba za makazi Marekani na Ulaya kutokuwa na fensi ndefu

Siku ya jana hiki kitu kili-pop out kwenye akili yangu nikaona ni zooooooom kwa ukaribu zaidi kudhibitisha ukweli wa hiki kitu.
Nili-google picha za nyumba za makazi za wenzetu kwa kweli sikuona fensi ndefu zote fupifupi.
Nikajaribu ku-recall picha za movies, nikawasha Tv kuangalia taarifa ya habari za nje kwa kweli muonekana wa fensi niendelea kuuona kuwa ni ule ule. Hata kwa baadhi zilikua ndefu bado kulikua na uwazi ambao mtu aliepo nje anaweza kuona ndani fensi kunanini.

Sitaki kuamini kuwa maeneo yote yapo hivyo ila hii kitu inaweza kuwa na fashion au ni matakwa ya mamlaka.

Huku kwetu sasa, fundi anajenga mpaka tofali zitakapo ishia na wenye uwezo wanaongezea electric wire yani ni vurugu.

Kwenu sasa Wataalam wa nyumba na makazi bila kuwasahau Diasporas na wengine wote wenye kufahamu ukweli wa ilijambo.

View attachment 2184038
This is Africa🎶🎶
 
Hizo fensi ni mahsusi kuonesha mipaka tu, kuna maeneo nyumba nyingi tu zipo wazi hazina fensi
 
hapa wenye PGO yao wenyewe wakikutamani tu unakula ze chembe huko mtaani, sasa hio fensi ya paspoti unamuwekea nani inji hii?
 
Hua nachukia pale watu wanapo linganisha vitu... kuna masuala ya culture, Security, fashion n.k

Suala la fensi katika jamii zetu halijaanza leo wa jana, zamani babu zetu walitengeneza fensi ndefu hizohizo kuzunguka maboma yao. Leo unataka watu wajenge fensi fupi sababu umeona US kuna fensi fupi? Kwanini usitake US wajenge fensi ndefu kama sisi?
 
Hua nachukia pale watu wanapo linganisha vitu... kuna masuala ya culture, Security, fashion n.k

Suala la fensi katika jamii zetu halijaanza leo wa jana, zamani babu zetu walitengeneza fensi ndefu hizohizo kuzunguka maboma yao. Leo unataka watu wajenge fensi fupi sababu umeona US kuna fensi fupi? Kwanini usitake US wajenge fensi ndefu kama sisi?
mkuu upo deep naona mzigo umeu-track toka back from ancestors vizuri sana.
 
Back
Top Bottom