Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
-
- #41
bongo bhana, nakumbuka siku moja jangwani mvua ilipiga kidogo tu teja kaingia mtaani kaenda kuiba mfuko nusu wa kokoto.Kaukuta ka mbao hako kawepo mtaani kwetu, anaewauzia kuni mama ntilie angekosa wateja kwa muda.
Natamani zaidi ya Huo Mkuu,Natamani kuta/uzio mrefu kama ile ya kwenye Magereza Ukuta uende hewani kwelimkuu ukuta mita 5 hilo si ni gereza
This is Africa🎶🎶Siku ya jana hiki kitu kili-pop out kwenye akili yangu nikaona ni zooooooom kwa ukaribu zaidi kudhibitisha ukweli wa hiki kitu.
Nili-google picha za nyumba za makazi za wenzetu kwa kweli sikuona fensi ndefu zote fupifupi.
Nikajaribu ku-recall picha za movies, nikawasha Tv kuangalia taarifa ya habari za nje kwa kweli muonekana wa fensi niendelea kuuona kuwa ni ule ule. Hata kwa baadhi zilikua ndefu bado kulikua na uwazi ambao mtu aliepo nje anaweza kuona ndani fensi kunanini.
Sitaki kuamini kuwa maeneo yote yapo hivyo ila hii kitu inaweza kuwa na fashion au ni matakwa ya mamlaka.
Huku kwetu sasa, fundi anajenga mpaka tofali zitakapo ishia na wenye uwezo wanaongezea electric wire yani ni vurugu.
Kwenu sasa Wataalam wa nyumba na makazi bila kuwasahau Diasporas na wengine wote wenye kufahamu ukweli wa ilijambo.
View attachment 2184038
The Icebreaker unasadiki asemacho kwamba madirisha hayana grillsio fence tu hata madirisha hayana nyavu na magrill ya ajabu ni vioo tu
dah kweli africa ni bara la njaa.Hizo fensi ni mahsusi kuonesha mipaka tu, kuna maeneo nyumba nyingi tu zipo wazi hazina fensi
Ni kweli mkuu,ila hii inatofautiana kati ya States na mitaa,The Icebreaker unasadiki asemacho kwamba madirisha hayana grill
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli mkuu,ila hii inatofautiana kati ya States na mitaa,
Mfano kuna tofauti kati ya Nyumba za Pemba na Nyumba za Dar,za Dar unakuta magrill kibao.
Miaka kadhaa baadae nawe utakuwa miongoni wa Wale tunaoambiwa "....Pale zimelala ndoto kibao".dream house yangu ni kwamba haitokua na fensi alafu kutambili za mbele sitting nataka ziwe vioo vitupu yani juu mpaka chini kwenye malumalu.
Kwenye upande wa ulinzi naweza kwama.
mkuu kwani ukuta wa kioo shi ngapi mpaka nife na ndoto.Miaka kadhaa baadae nawe utakuwa miongoni wa Wale tunaoambiwa "....Pale zimelala ndoto kibao".
fensi ya paspoti 😂🤣😂hapa wenye PGO yao wenyewe wakikutamani tu unakula ze chembe huko mtaani, sasa hio fensi ya paspoti unamuwekea nani inji hii?
chakushangaza hata nyumba za maaskari nazo fensi juu. Wao wenyewe hawajiamini.Ila nyumba inapendeza fensi fupi,mageti ya wabongo kama gereza
mkuu upo deep naona mzigo umeu-track toka back from ancestors vizuri sana.Hua nachukia pale watu wanapo linganisha vitu... kuna masuala ya culture, Security, fashion n.k
Suala la fensi katika jamii zetu halijaanza leo wa jana, zamani babu zetu walitengeneza fensi ndefu hizohizo kuzunguka maboma yao. Leo unataka watu wajenge fensi fupi sababu umeona US kuna fensi fupi? Kwanini usitake US wajenge fensi ndefu kama sisi?