Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ICU watu wanatakiwa wapelekwe kule siku gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ICU watu wanatakiwa wapelekwe kule siku gani?
Hahahaha ukitamka mara nyingi linakuja kinyeoBunyero.. Bunyero... Halafu kweli hili neno linasound kama mahali pa kutolea haja kubwa.. We tamka tena bunyero mara kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]kesho nitakua hapa nazuga zuga siku nzima nitaleta feedback.
View attachment 1301750
Ebo.ishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23]ICU watu wanatakiwa wapelekwe kule siku gani?
Alikuaga Dada wa mjini,yule fideline enzi hizoo weee!kawauza sana kina OdembaHivi yule fideline iranga ana uzuri gani hadi kuwa popular namna ile miaka iliyopita!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani miaka yote hiyo Leo ndio nimeelewa hii kitu!!Ushaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Anabwia? Tembo nae kashazoa kwa yule Mmama wa mjiniIla "mbaazi" zinawasaidia wengi..
Sema nn siku hizi hawajali tenaAnabwia? Tembo nae kashazoa kwa yule Mmama wa mjini
Aliolewa yuko S.A , Anajishughulisha na ushonaji.Hivi yupo wapi huyu mdada?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Skendo gani?Mkuu huyo mdada naye ana skendo sasa sijui kama ni kweli au la!
Sent from my iPhone using JamiiForums
sema hakyamungu yule kijana wa kimakonde anatafuna korosho mbichi?Anabwia? Tembo nae kashazoa kwa yule Mmama wa mjini
Maza kitambosema hakyamungu yule kijana wa kimakonde anatafuna korosho mbichi?
😲😲😲🤪🤔
Ni Wasambaa waliozamia Dar es SalaamWasasambuaji ni watu gani?
Hilo neno mbona kama lina hamasisha kula jichoBunyero Bunyero itatuuwa wengi