Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,045
- 2,975
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kesho nitakua hapa nazuga zuga siku nzima nitaleta feedback.
View attachment 1301750
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kesho nitakua hapa nazuga zuga siku nzima nitaleta feedback.
View attachment 1301750
Fanya hivyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀Hilo neno mbona kama lina hamasisha kula jicho
Mwanaume rijali unafungaje zipu labda shoga point ni kwamba watu watumie condomu kiusahii waache kushiriki ngono ambao sio salamaAu itakua hawakumuelewa marehemu Abbas Dogoli nini kwenye "Funga zipu yako"
Sent using Jamii Forums mobile app
Dully namba waneee,Unakaa kihasara hasara hata kutwa hujala halafu unataka mademu wakali kama Rashida Wanjara,mademu wazuri bongo tunamega vinara kama we umeshindwa Basi stop!!
Noma sana!huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Hiyo point muhimu sanaHahahah
Umeua kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu tumpe miaka 5 mbeleBunyero bunyero maisha club mwenge mda mwingine host anakuwaga Aunt Ezekiel.Hapo ndo utamjuwa Don Masha ni nani.Ila yule kivurande ana balaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaovaa nguo nzuri hadi wakapendeza.Wasasambuaji ni watu gani?
DuhLeo Rashida ni boss wa Bunyero Bunyero
Aisee kuna watu mnajua mengi mjini hapaUshaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila king'aacho ni dhahabuJay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaa
Ebhana leo nipo hapa Bunyero Bunyero mwenge,Leo Rashida ni boss wa Bunyero Bunyero. Project fulani hivi ya wasasambuaji wenye misambwanda. Inadaiwa humo ndani anauza mpaka mapunga. Watu wa chimbo za town wanaelewa vizuri. WCB team ni VIP pale!