Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Unakaa kihasara hasara hata kutwa hujala halafu unataka mademu wakali kama Rashida Wanjara,mademu wazuri bongo tunamega vinara kama we umeshindwa Basi stop!!
Dully namba waneee,
Kiboko yamabishooo,
Kutoka gerezaneee,
Ilala kariakooo,


Nimekumbuka huo mstari hv Jay ashafanyaga collabo na dully kweli?
 
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Noma sana!
 
Bunyero bunyero maisha club mwenge mda mwingine host anakuwaga Aunt Ezekiel.Hapo ndo utamjuwa Don Masha ni nani.Ila yule kivurande ana balaa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu tumpe miaka 5 mbele
FB_IMG_16453583324990162.jpg
 
Huyu alikua demu wa profesa jay na kala pina katika ile diss track ya beef alitamka jay kapewa miwaya na demu wake
 
Salamu ziende kwa Wanjara, Don masha kitasa kwenye bunyero,, mwambie simba kachalala,, anataka msambwanda kwa buku jero, Aje kaianama,,,shika ukuta - Diamond platnumz ft Burna boy - kainama.
 
Back
Top Bottom