Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikudanganya kuwa facebook ni ya mwaka 1999 au 2000?Kitambo hicho kweli mkuu 1993, Facebook imefunguliwa 1999 kwenda 2000
Facebook wenyewe,Nani alikudanganya kuwa facebook ni ya mwaka 1999 au 2000?
Sent from my V5+ using JamiiForums mobile app
Usinichukulie poa Jamaa, wakati huo Yanga kuna Abbas Gulamali Simba kuna Dewji Baba.Tatizo watoto wa form One wapo humu mkuu, watoto wanasumbua unaweza ukamjibu hivi akaletà habari za kitoto ndio nlipomwambia umri ila alipojieleza kuhusu Abbas Gulamari boss wa Yanga wa kipindi hicho, ndipo nlipoona huyu ni mtu mzima sio wale watoto wasumbufu wa karne ya 20 kuja 21,
Sawa mkuu, umeelewekaUsinichukulie poa Jamaa, wakati huo Yanga kuna Abbas Gulamali Simba kuna Dewji Baba.
Ila inawezekana pia kufanya kwa mapenzi tu, maana naamini ule wa "Roger Miller" aliimba kwa mapenzi tu na kuipongeza Cameron.Its simple. Unampa pesa hata wewe anakutungia wimbo. Mwanamuziki yeyote unaweza mwambia akutungie wimbo unampa pesa anakutunga.
ila msisahau kutunga wimbo ni jambo moja ila kufanya hit song ni jambo lingine.Alilipwa usd 10k na gulamali,wasaniii wa congo hadi leo wanafanya sana hiyo kitu inaitwa mabanga mpe hela akutaje kwenye nyimbo au dau kubwa atunge nyimbo yako kabisa kama yule dada mbongo jasmine aliyemsaidia msuva vs wydad wanavyomrusha
Hapana, hii sasa ilikuwa na love tu.Sorry kama ntakua nje ya mada, Vipi na Yule Hidaya aliyepotezwa na Pepe Kale na alimlipa?
Ni kama unavyosikia papaa Msofe,Pededjee Ndama mutoto ya ng'ombe au Kayembe Shetembaa.Anayejua hebu atujulishe kama je Pepe kale alifuatwa na Wadau akapewa dili?.
Viongozi/kiongozi mmoja alimpa dili akamlipa?. au ni mapenzi yake binafsi kwa timu ya Yanga?
Hidaya ni Mwanamke aliyemsaidia Pepe kalle kusurvive Bongo baada mipango kuvurugika akiwa Tanzania! Walikuja kupiga show ila mambo hayakwenda sawa, Sasa wakiwa kule Arusha huyo Hidaya akatoa support kubwa mpaka ikapatikana nauli ya kurudi Zaire!!Ila Hidaya aliimbiwa kwa mapenzi tu sidhani kama alimlipa Peppe Kale.
Pepe Kalle alilipwa na Abbas Gulamali hili wala si la mjadala. Tena alitunga akiwa Tz. Abass Gulamali alikuwa mfadhili wa YangaIla inawezekana pia kufanya kwa mapenzi tu, maana naamini ule wa "Roger Miller" aliimba kwa mapenzi tu na kuipongeza Cameron.
Nlipita pale miaka ile....toto tamu sana lile.Hidaya ni Mwanamke aliyemsaidia Pepe kalle kusurvive Bongo baada mipango kuvurugika akiwa Tanzania! Walikuja kupiga show ila mambo hayakwenda sawa, Sasa wakiwa kule Arusha huyo Hidaya akatoa support kubwa mpaka ikapatikana nauli ya kurudi Zaire!!
By the way mwaka 2015 nilikutanishwa na Mtoto wa huyo Hidaya mwenyewe! Analishape la hatareeee, niliambiwa anaishi Europe huko by that time!!
Kuna majitu maongo aisee!!Kitambo hicho kweli mkuu 1993, Facebook imefunguliwa 1999 kwenda 2000
Shida nini hapo mkuu? Umeelewa nilichomaanisha? Sijasema ilikua launched 1999-2000, km hujaelewa uliza?Kuna majitu maongo aisee!!
Utatujuza ya Tunis tarehe 9Aisee mnanifurahisha Sana hbr za yanga nazipenda haswa
Halafu Simba alikuwepo Azim Dewji,kipindi kile hakuna cha Fesibuku wala sijui Insta.
😃😃