goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Wale tutawapiga Kama ngoma ,ndoige kbsa nyie subirini mtaona mziki wa dar yang African's
Ila nimesikia kocha kaenda na begi kbsa ila ikitoke VIP gharama ziziwe kubwa za kurudi DSM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale tutawapiga Kama ngoma ,ndoige kbsa nyie subirini mtaona mziki wa dar yang African's
Aisee Kaka umepatiaa huyu boya Mlolongo katudanganya asbh asbh eti anasema ndege hyo ilikuwa inafanya mazoezi ya ajali pumbafu San huyu dogo kaniudhi siku nzima yaani ,yaani ajali inatokeaa yeye anakuja na assumption zake za kipuuzi zizizotumia akili kudai kuwa ndege ilikuwa inafanyiwa majaribioShida nini hapo mkuu? Umeelewa nilichomaanisha? Sijasema ilikua launched 1999-2000, km hujaelewa uliza?
Hio app/website walikua nayo kipindi hicho ilikua bado haijawa launched walikua wanatafuta wafadhiri ila hio website/app ilikuepo tu na imekua launched 2003-2004, shida nini hapo? Nini haujaelewa? Km hujui jambo acha kujitia ujuaji nyambafu
Au niliposema imefunguliwa 1999-2000 ndio fuvu lako limekakamaa? Hujaelewa? Huelewi kitu bongo lako limelala fofofo, read between the lines bogus,
Si ni wewe ulisema wale wanaozama na ndege ya PA kule Lake Victoria wanafanya mazoezi ya ajali? So stupid, kujitia ujuaji kila kitu kujifanya unajua km hujui uliza sio unaropokaropoka tu, useless
Alilipwa na Abbasi GulamaliAnayejua hebu atujulishe kama je Pepe kale alifuatwa na Wadau akapewa dili?.
Viongozi/kiongozi mmoja alimpa dili akamlipa?. au ni mapenzi yake binafsi kwa timu ya Yanga?