Shida nini hapo mkuu? Umeelewa nilichomaanisha? Sijasema ilikua launched 1999-2000, km hujaelewa uliza?
Hio app/website walikua nayo kipindi hicho ilikua bado haijawa launched walikua wanatafuta wafadhiri ila hio website/app ilikuepo tu na imekua launched 2003-2004, shida nini hapo? Nini haujaelewa? Km hujui jambo acha kujitia ujuaji nyambafu
Au niliposema imefunguliwa 1999-2000 ndio fuvu lako limekakamaa? Hujaelewa? Huelewi kitu bongo lako limelala fofofo, read between the lines bogus,
Si ni wewe ulisema wale wanaozama na ndege ya PA kule Lake Victoria wanafanya mazoezi ya ajali? So stupid, kujitia ujuaji kila kitu kujifanya unajua km hujui uliza sio unaropokaropoka tu, useless