Hivi iliyofuzu AFCON 2024 Jana nchini Algeria ni Taifa Stars au Rais Samia?

Obama na Clinton wana PhD,ila huwezi jua,ila Rais wenu na uDokta wa kupewa,akiwa anatambulishwa anaitwa Dkt Samia...Rubbish
Siku hizi hata Stenographers kutokea Paje Kizimkazi Zanzibar nao wanapewa Honored Doctorate ( PhD ) na Kufurahia Kutambuliwa kwa Title ya Dk / Dr mbele ya Halaiki.
 
Umeme ukikatika italaumiwa serikali na sio wafanyakazi wa Tanesco,umeme ukiwa stable itasifiwa serikali na wafanyakazi wa Tanesco pia coz serikali ndiye msimamizi na mpanga mikakati na kutoa fedha.
Damn Fool.
 
The choice is yours,

Umeleta thd ijadiliwe,so kila mtu atajadili kwa mtazamo wake,
Hatufanani.
Mpelekeni Yeye basi peke yake akacheze huko Ivory Coast mwakani ili arudi na Silverware nchini na mpate sababu ya Kustahili Kumsifia, Kumuabudu na Kujipendekeza Kwake sawa?
 
Siku hizi hata Stenographers kutokea Paje Kizimkazi Zanzibar nao wanapewa Honored Doctorate ( PhD ) na Kufurahia Kutambuliwa kwa Title ya Dk / Dr mbele ya Halaiki.
Mambo ya ajabu kabisa ,ila Mh Samia uwa anapita humu,ushauri wako wa kuwapiga pini chawa wa kusifia tu na kumuita Dokta atawaambia .
 



Wewe jamaa umetumia nini? mbona sikuhizi unaakili sana.
 
Mambo ya ajabu kabisa ,ila Mh Samia uwa anapita humu,ushauri wako wa kuwapiga pini chawa wa kusifia tu na kumuita Dokta atawaambia .
Najua huwa ananisoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo atanielewa na atafanyia Kazi niliyomshauri kama ikimpendeza.
 
Umeandika madini sana,congrats
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…