Hivi inakuaje mtu kufanya hivi?

Tangu muambiwe kuna 4R kila kitu basi ni r tu kweri, hera, nakubari.
Naweza pungukiwa kwa hili na wewe uka pungukiwa kwa lile lakini si vibaya ku kosoana Kama tutakuwa na Nia ya kujengana πŸ™πŸ™
 
Huwezi kuwa smart ndio maana kakutukana
.
Mtu yeyeto asiyejua kutofautisha R na L kwenye lugha ya kiswahili wengi wao viazi
 
Hata Mimi niliishia hapo hapo kwenye Hera…na pia ku-ludi nyumbani…nadhani huyu jamaa ni wa Mara..

Huwezi kuwa smart ndio maana kakutukana
.
Mtu yeyeto asiyejua kutofautisha R na L kwenye lugha ya kiswahili wengi wao viazi
R&l inakuletea ugari nyumbani?

Nenda mashuleni na vyouni Kawa ulize nisomo gani gumu Kati ya kiingeleza/English na kiswahili/Swahili wakikujibu kiingeleza/English utakuwa ume danganya mkuu

Acha kuishi kwa copying hata mzungu hakijui kiingeleza vizuri kwa kukiandika kuku zidi wewe mkuu
 
1. "R" na "L" ni shida sana kwenye hii nchi.
2. "Maziwa mabichi"!!!!! ndio huko usukumani mnamaanisha maziwa fresh?
3. Kumbe zile vocha za kukwangua bado zipo?
 
Umedhihirisha usahihi wa kauli ya jamaa kuwa wewe ni kum.

Hakuna ulililomkoma jamaa zaidi ya kumtimizia dhamira yake ya kulewa tena kwa kukutukana juu.

Umepigwa kiboya na msela cha pombeπŸ˜‚
 
1. "R" na "L" ni shida sana kwenye hii nchi.
2. "Maziwa mabichi"!!!!! ndio huko usukumani mnamaanisha maziwa fresh?
3. Kumbe zile vocha za kukwangua bado zipo?
1.naweza kuku baliana na wewe

2.fresh niki Swahili au kiingeleza?

3.hivi wanapo zungumzia vocha Huwa Wana maanisha Nini kwa uelewa wako?
 
Niliposoma hera na wareti nikachefukwa Sana,sijui huko chini umeandika nini
 
Hera hera hakiri Hari alikiwa ludi badara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…