Thaconfession
JF-Expert Member
- Jun 16, 2021
- 301
- 590
- Thread starter
-
- #41
Umeanza vizuri sanaaa ila umemaliza vibaya sana,shubaamit mmoja wewe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio big deal Mama kutuma message kama hiyo.
Mama mtoto ametamani kuzawadiwa kitu ili aone anathaminiwa kwa kazi nzuri ya ulezi hapo nyumbani na kutunza nyumba sio kazi ndogo.
Kumbukeni akina Mama ndo huwa tunashinda na watoto muda mrefu nyumbani na tunajitahidi kubalance na kazi zingine.
Sasa basi, cha ajabu ni huyo rafiki yako shubaamit zake kukufowadia meseji aliyotumiwa na mke wake badala ya kusolve issues na wewe shubamit zako pia kwa kushindwa kumshauri kwamba ya ndoa yake abaki nayo mbona hayo madogo tu. Kenge nyie wawili.
Brother una akili nyingi mnooo!kuna ukakasi mwingi sana kwenye maneno ya huyo mama mtoto..
MOJA:
anajiita housegirl kwa kufanya kazi ya kulea mtoto wake. kazi ya kulea mtoto sio ya housegirl ni ya mama Mzazi. House girl anasaidia kama mama anatoka anaenda kazini.
PILI:
anataka apongezwe kwa kazi ya kulea mtoto, kitu ambacho ni cha ajabu sana. wewe unalea mtoto unataka zawadi. mimi ninaehangaika kutafuta hela ya pampas, unga wa mtoto, kulipia bima ya mtoto, kununua dawa, mbona siombi zawadi? mimi nani anatakiwa anipe zawadi? wewe pekee ndo una majukumu kwa huyo mtoto na mimi vyote ninavyofanya ni kazi bure na havina mashiko?
TATU:
akumbuke kila mtu kwenye familia ana wajibu wake na inabidi awajibike kwa kadiri ya uwezo wake.
baba analeta ugali mama analea watoto. yeye anamshukurugi mumewe kwa kuleta chakula kila siku? kwamba hakuna hata siku amelala njaa, ameshawahi kumshukuru mumewe iwa hilo?
Wanawake muangalie na mambo ya kung'unikia vitu vingine ni wajibu wenu kuvifanya na havihitaji pongezi wala kupigiwa makofi.
I will tryNdiyo ina maana kubwa sana mkuu
You just try and see
Amen kaka [emoji1431]Brother una akili nyingi mnooo!
Mungu akulinde uendelee kushusha nondo namna hii hii,yaani umeongea na kuonyesha ulivyo akili kubwa...
Ni yeye mkuu sio rafiki yake Wala nini [emoji2]Anamaanisha acha umbea wewe na rafikia ako ya ndani ni ya ndani
Umu kuna makungwi sio?Hahahaaa, sasa kama mwenyewe amenifowadia text na kuniuliza sababu, mimi nashindwaje kuwauliza nguli wa Mambo ya ndoa na mahusiano waliopo humu?
Wachape makofi ya visogo hawa jamaa akili ziwarudi😂😂Sio big deal Mama kutuma message kama hiyo.
Mama mtoto ametamani kuzawadiwa kitu ili aone anathaminiwa kwa kazi nzuri ya ulezi hapo nyumbani na kutunza nyumba sio kazi ndogo.
Kumbukeni akina Mama ndo huwa tunashinda na watoto muda mrefu nyumbani na tunajitahidi kubalance na kazi zingine.
Sasa basi, cha ajabu ni huyo rafiki yako shubaamit zake kukufowadia meseji aliyotumiwa na mke wake badala ya kusolve issues na wewe shubamit zako pia kwa kushindwa kumshauri kwamba ya ndoa yake abaki nayo mbona hayo madogo tu. Kenge nyie wawili.
Heeeh na makofi tena?Wachape makofi ya visigo hawa jamaa akili ziwarudi[emoji23][emoji23]
Kumbuka hii ilikuwa ahadi ya mtoto akifanya vizuri shule, mtoto amekomaa mpaka amefikia lengo la kufanya vizuri na ili kumuonyesha kwamba baba hadanganyi akamnunulia zawadi yake, sasa mama anaioneaje wivu zawadi ya namna hiyo?Itakuwa kawaza"mimi ninaelea huyu mtoto hajaona umuhimu wa ninachofanya hapa home?" Nayo ni point mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna Siri mambo ya mwenzako ya familia yake kakutumia kwa utashi wake wew una yaanika huku ya Nini? Kama Yuko humu unadhani anakuchukuliaje?
Yap,kama hawalogi kwa tunguli huloga kwa maneno.67% ya WANAWAKE Ni wachawi
Basi huyo baba Ajitathmini,mpaka kufikia mama analalamika kwamba hapewi zawadi sio kwamba anaona wivu mwanae akipewa zawadi hapana bali anamkubusha baba kwamba na yeye yupo,inabidi baba amkumbukepo mara moja moja kama anavyofanya kwa mwanae.Mama mzazi kabisaaa
Kuna mama wa kizungu alikuwa anazaa watoto, baada ya muda mtoto anafariki katika mazingira yasiyoeleweka. Baada ya miaka kupita, ikagundulika kuwa anawaonea wivu watoto wakipendwa na baba yao, anataka upendo apewe au kuonesha yeye tu, na sio watoto.Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.
Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)
Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?
Hii inasabababishwa na nini?
Sawa,lakini kwanini alalamike mtoto wake akiwa anapewa zawadi? Kwanini hakulalamika siku kadhaa kabla? Halafu swala la malezi si ni la wote wawili?(baba na mama) inakuwaje mama anataka apongezwe kwa kununuliwa zawadi kwa ajili ya kufanya kitu ambacho baba pia anafanya?Basi huyo baba Ajitathmini,mpaka kufikia mama analalamika kwamba hapewi zawadi sio kwamba anaona wivu mwanae akipewa zawadi hapana bali anamkubusha baba kwamba na yeye yupo,inabidi baba amkumbukepo mara moja moja kama anavyofanya kwa mwanae.
Nb:zawadi /hela inanogesha mapenzi