Thaconfession
JF-Expert Member
- Jun 16, 2021
- 301
- 590
- Thread starter
- #61
Aisee sijui ingekuwaje!!!Imagine angekuwa mtoto wa kambo
[emoji848][emoji848][emoji2955][emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee sijui ingekuwaje!!!Imagine angekuwa mtoto wa kambo
Angekachoma kisu hako katotoAisee sijui ingekuwaje!!!
[emoji848][emoji848][emoji2955][emoji848][emoji848]
67% ya WANAWAKE Ni wachawi
Bonge la point...Huyo mwanamke nae afanyishwe mtihani kama anaona toto amefaidi
Rafiki yako itakuwa anamdharau mkewe. Mwambie aache ushamba.Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.
Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)
Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?
Hii inasabababishwa na nini?
Piga yeye na upande wa kitenge mkuu...wacha wasi wasi.Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.
Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)
Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?
Hii inasabababishwa na nini?
Jamaa anamdharau sana mke wake. Anapotezea maombi yake. Na huenda ametoka kumwomba kitu si siku nyingi na jamaa akadai hana hela. Inapotokea anatoa zawadi kwa mtoto huku mama aliomba mahitaji siku nyingi bila kutimiziwa ni ishara ya dharau kubwa. Mke anajiona kama ni kifaa cha kufyatua watoto tu, hivyo anaumia. Ni dhahiri hamwonei wivu mwanae lakini baba mtoto ameonyesha dharau za wazi.Sawa,lakini kwanini alalamike mtoto wake akiwa anapewa zawadi? Kwanini hakulalamika siku kadhaa kabla? Halafu swala la malezi si ni la wote wawili?(baba na mama) inakuwaje mama anataka apongezwe kwa kununuliwa zawadi kwa ajili ya kufanya kitu ambacho baba pia anafanya?
Kama baba anatafuta chakula kwa ajili ya familia, na kununua mahitaji mengine yoooote,inakuwaje mama anataka kupongezwa na kupewa zawadi,baba atapewa na nani???
Sa kwanini hamnunuuliagi mkewe zawadi?Huu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.
Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)
Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?
Hii inasabababishwa na nini?
Anasema anamnunuliaga ila ndiyo hivyo alitaka wanunuliwe pamojaSa kwanini hamnunuuliagi mkewe zawadi?
KakudanganyaAnasema anamnunuliaga ila ndiyo hivyo alitaka wanunuliwe pamoja
umeoa?kuna ukakasi mwingi sana kwenye maneno ya huyo mama mtoto..
MOJA:
anajiita housegirl kwa kufanya kazi ya kulea mtoto wake. kazi ya kulea mtoto sio ya housegirl ni ya mama Mzazi. House girl anasaidia kama mama anatoka anaenda kazini.
PILI:
anataka apongezwe kwa kazi ya kulea mtoto, kitu ambacho ni cha ajabu sana. wewe unalea mtoto unataka zawadi. mimi ninaehangaika kutafuta hela ya pampas, unga wa mtoto, kulipia bima ya mtoto, kununua dawa, mbona siombi zawadi? mimi nani anatakiwa anipe zawadi? wewe pekee ndo una majukumu kwa huyo mtoto na mimi vyote ninavyofanya ni kazi bure na havina mashiko?
TATU:
akumbuke kila mtu kwenye familia ana wajibu wake na inabidi awajibike kwa kadiri ya uwezo wake.
baba analeta ugali mama analea watoto. yeye anamshukurugi mumewe kwa kuleta chakula kila siku? kwamba hakuna hata siku amelala njaa, ameshawahi kumshukuru mumewe kwa hilo?
Wanawake muangalie na mambo ya kunung'unikia vitu vingine ni wajibu wenu kuvifanya na havihitaji pongezi wala kupigiwa makofi.
Yawezekana kuwa mama hajawahi kupewa zawadiHuu ni ujumbe amenifowadia rafiki yangu wa karibu sana, kwamba amemnunulia zawadi mtoto wake baada ya kufanya vizuri shuleni, (aliahidi kumnunulia zawadi nono endapo atashika nafasi ya kwanza kwenye mitihani yake), dogo kweli amepasua paper vizuri sana, baba Yale akatekeleza ahadi yake kwa mtoto.
Baada ya baba kuondoka, mama ameanza kumtumia texts baba mtoto kwamba anamjali mtoto tu, Wala hamjali mama yake (akimaanisha kwanini amemnunulia zawadi mtoto pekee na yeye hajapata zawadi)
Hii imenifanya nifikirie sana, ina maana mama mtoto anamuonea wivu mwanaye?
Hii inasabababishwa na nini?
Raha ya kuwa mke udekezwe sometimes,baba atapambana na hali yake!Sawa,lakini kwanini alalamike mtoto wake akiwa anapewa zawadi? Kwanini hakulalamika siku kadhaa kabla? Halafu swala la malezi si ni la wote wawili?(baba na mama) inakuwaje mama anataka apongezwe kwa kununuliwa zawadi kwa ajili ya kufanya kitu ambacho baba pia anafanya?
Kama baba anatafuta chakula kwa ajili ya familia, na kununua mahitaji mengine yoooote,inakuwaje mama anataka kupongezwa na kupewa zawadi,baba atapewa na nani???
Km kulea watoto unataka zawadi ntakupa zawadi mpka lini? Ikumbukwe zawadi ni kwa kupewa baada ya kufanya kitu special.. sasa hujafanya kitu zawadi ya nn? Kulea wote tunalea it aint special its appreciated since day one. Shida enu mnakuaga entittled sana you thinking you deserve better while nothing special you have done.Sio big deal Mama kutuma message kama hiyo.
Mama mtoto ametamani kuzawadiwa kitu ili aone anathaminiwa kwa kazi nzuri ya ulezi hapo nyumbani na kutunza nyumba sio kazi ndogo.
Kumbukeni akina Mama ndo huwa tunashinda na watoto muda mrefu nyumbani na tunajitahidi kubalance na kazi zingine.
Sasa basi, cha ajabu ni huyo rafiki yako shubaamit zake kukufowadia meseji aliyotumiwa na mke wake badala ya kusolve issues na wewe shubamit zako pia kwa kushindwa kumshauri kwamba ya ndoa yake abaki nayo mbona hayo madogo tu. Kenge nyie wawili.
Wanawake hufikria kwa kuona karibu na vile vinavyo mzunguka lakini angewaza kama ulivyoona wewe angesema moyoni mwake hiyo si kaz yangu ila ni wajibu wake.kuna ukakasi mwingi sana kwenye maneno ya huyo mama mtoto..
MOJA:
anajiita housegirl kwa kufanya kazi ya kulea mtoto wake. kazi ya kulea mtoto sio ya housegirl ni ya mama Mzazi. House girl anasaidia kama mama anatoka anaenda kazini.
PILI:
anataka apongezwe kwa kazi ya kulea mtoto, kitu ambacho ni cha ajabu sana. wewe unalea mtoto unataka zawadi. mimi ninaehangaika kutafuta hela ya pampas, unga wa mtoto, kulipia bima ya mtoto, kununua dawa, mbona siombi zawadi? mimi nani anatakiwa anipe zawadi? wewe pekee ndo una majukumu kwa huyo mtoto na mimi vyote ninavyofanya ni kazi bure na havina mashiko?
TATU:
akumbuke kila mtu kwenye familia ana wajibu wake na inabidi awajibike kwa kadiri ya uwezo wake.
baba analeta ugali mama analea watoto. yeye anamshukurugi mumewe kwa kuleta chakula kila siku? kwamba hakuna hata siku amelala njaa, ameshawahi kumshukuru mumewe kwa hilo?
Wanawake muangalie na mambo ya kunung'unikia vitu vingine ni wajibu wenu kuvifanya na havihitaji pongezi wala kupigiwa makofi.
Mama ndio mwalimu wa shule? Kwamba apewe zawadi na yeye? Wtf bronimesoma comment za wadau, zipo za aina mbili wapo wanaopinga mkuu kuuleta huu uzi kuwa kayaweka mambo ya watu hadharani,.
.
.
na wengine wapo wanaosema mwanamke kakosea,
.
mimi sikubaliani na hayo mawazo kwanza nimejifunz kitu, na hili ni jukwaa la mapenz na mahusiano, vitu kama hivi ambavyo ndo vipo real ni vizuri kuvitumia kama case study, kikubwa hajatoa utambulisho halisi aidha wa namba jina au eneo alipo.
.
.
lakini pia mwenye makosa pia ni mwana ume, alichokifanya ni sawa na Mkurugenz wa shule kuja kutoa zawadi kwa mwanafunz halafu akaacha kutoa zawadi kwa mwalimu wake.
.
.
huyo mama asingelalamika kama mwamba hua anampa zawadi, mimi sijaoa lakini naona kwa wanawake ambao nimewahi date nao wanavyokua na hisia ukiwapa zawadi, anachukulia ume m appreciate sana!
.
.
Mwambie jamaa amtoe out mke wake tena huyo mwanae abaki nyumbani,, [emoji1]wakimaliza ampitishe sehem akachague pamba za kutosha na sim kama hana smart foni [emoji1]
.
.
kama hana uwezo, bas ampe hata japo kitenge akashone! nimefeel maumiv yake, [emoji1] na asijimwambafai kisa mwanaume amtake radhi... maisha mafupi haya tujifunze kuenjoy kwa furaha na amani!!
Jambo dogo kama Hilo kulileta humu linapima uwezo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo na hata huyo jamaaa yako nae hamnazo ishu ndogo TU ya kukaa na huyo mwana mama na kutoa kauli na matamko ya kiutuzima kashindwa.
Kakuomba ushauri wewe na wewe ulivyo hopeless ukalileta humu Ni aibu Sana kwa uoni wangu wa mbali Ni wewe mwenyewe sema unatumia fursa ya jamaaa yako kutka ushauri
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Ingia kwenye ndoa uone hiyo tofaut kati ya hao unao date nao na mama mwenye mtoto nyumbani.nimesoma comment za wadau, zipo za aina mbili wapo wanaopinga mkuu kuuleta huu uzi kuwa kayaweka mambo ya watu hadharani,.
.
.
na wengine wapo wanaosema mwanamke kakosea,
.
mimi sikubaliani na hayo mawazo kwanza nimejifunz kitu, na hili ni jukwaa la mapenz na mahusiano, vitu kama hivi ambavyo ndo vipo real ni vizuri kuvitumia kama case study, kikubwa hajatoa utambulisho halisi aidha wa namba jina au eneo alipo.
.
.
lakini pia mwenye makosa pia ni mwana ume, alichokifanya ni sawa na Mkurugenz wa shule kuja kutoa zawadi kwa mwanafunz halafu akaacha kutoa zawadi kwa mwalimu wake.
.
.
huyo mama asingelalamika kama mwamba hua anampa zawadi, mimi sijaoa lakini naona kwa wanawake ambao nimewahi date nao wanavyokua na hisia ukiwapa zawadi, anachukulia ume m appreciate sana!
.
.
Mwambie jamaa amtoe out mke wake tena huyo mwanae abaki nyumbani,, [emoji1]wakimaliza ampitishe sehem akachague pamba za kutosha na sim kama hana smart foni [emoji1]
.
.
kama hana uwezo, bas ampe hata japo kitenge akashone! nimefeel maumiv yake, [emoji1] na asijimwambafai kisa mwanaume amtake radhi... maisha mafupi haya tujifunze kuenjoy kwa furaha na amani!!