YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Serikali imeweka mafao makubwa serikalini, bungeni na mahakamani kwa viongozi wakubwa inakuwaje pamoja na kuwa wana uhakika wa kupaa mapato makubwa sasa na maisha yao yote bado wanakuwa vibaka wa kula kwa urefu wa kamba zao?
Mwenyezi Mungu atusaidie kwenye hili wanataka nini hasa?
Mwenyezi Mungu atusaidie kwenye hili wanataka nini hasa?