Hivi inakuwaje mtu anatunzwa na Serikali maisha yake yote halafu bado anataka kula kwa urefu wa kamba yake

Hivi inakuwaje mtu anatunzwa na Serikali maisha yake yote halafu bado anataka kula kwa urefu wa kamba yake

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Serikali imeweka mafao makubwa serikalini, bungeni na mahakamani kwa viongozi wakubwa inakuwaje pamoja na kuwa wana uhakika wa kupaa mapato makubwa sasa na maisha yao yote bado wanakuwa vibaka wa kula kwa urefu wa kamba zao?

Mwenyezi Mungu atusaidie kwenye hili wanataka nini hasa?
 
Serikali imeweka mafao makubwa serikalini,bungeni na mahakamani kwa viongozi wakubwa inakuwaje pamoja na kuwa wana uhakika wa kupaa mapato makubwa sasa na maisha yao yote bado wanakuwa vibaka wa kula kwa urefu wa kamba zao?

Mwenyezi Mungu atusaidie kwenye hili wanataka nini hada?
Lazima kamba nayo itunzwe la sivyo itakatika
Ila Mungu huingilia kati huikata ndio chain huwa inaishia hapo
 
Serikali imeweka mafao makubwa serikalini,bungeni na mahakamani kwa viongozi wakubwa inakuwaje pamoja na kuwa wana uhakika wa kupaa mapato makubwa sasa na maisha yao yote bado wanakuwa vibaka wa kula kwa urefu wa kamba zao?

Mwenyezi Mungu atusaidie kwenye hili wanataka nini hada?
... swali lako ungelipeleka kwenye vikao vya chama chenu pangekuwa mahali sahihi zaidi kuliko kuja kuuliza humu! Malafi yanayopora nchi yote yamejazana chamani kaulizie humo wakupe ufafanuzi kwanini wanafanya hivyo. Bila Katiba ya Wananchi hatutoki asilani.
 
... swali lako ungelipeleka kwenye vikao vya chama chenu pangekuwa mahali sahihi zaidi kuliko kuja kuuliza humu! Malafi yanayopora nchi yote yamejazana chamani kaulizie humo wakupe ufafanuzi kwanini wanafanya hivyo
Mihimili iko mitatu ndio maana nikauliza hapa kote kuna watunzwa maisha yao yote

Chama hakina watunzwa maisha yao yote
 
Serikali imeweka mafao makubwa serikalini,bungeni na mahakamani kwa viongozi wakubwa inakuwaje pamoja na kuwa wana uhakika wa kupaa mapato makubwa sasa na maisha yao yote bado wanakuwa vibaka wa kula kwa urefu wa kamba zao?

Mwenyezi Mungu atusaidie kwenye hili wanataka nini hasa?

Penye kila neno serikali badilisha na weka "serikali ya CCM" kwa sababu tangu uhuru hatujawahi kuwa na mmiliki wa kamba zaidi ya CCM...
 
Nadhani lawama tuwape waasisi labda waliunda sera na miongozo mibovu ya kumfanya kiongozi wa kisiasa kujipa uungumtu.
 
Penye kila neno serikali badilisha na weka "serikali ya CCM" kwa sababu tangu uhuru hatujawahi kuwa na mmiliki wa kamba zaidi ya CCM...
CCM ilizaliwa 1977 wakati wa uhuru haikuweko CCM ilikuweko TANU
 
Na wewe kula kwa urefu wa kamba yako, ukiona umeshindwa basi acha kulalamika, kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji mtoni
 
Back
Top Bottom