Afro king
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 445
- 455
Really Thought ✍🖎
Wee unavaaga chupi tu kama vazi landani kama unavaa na taiti ,basi uzi wako hauna maana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee unavaaga chupi tu kama vazi landani kama unavaa na taiti ,basi uzi wako hauna maana.
Na nyie muache kuvaa masidiria....yanakeraJamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Uwe unavaa boxer basi aisee. Acheni kuvaa hayo majezi yenu banaaaWe naona umekuja kasi sana. Hivi mmeona kuja na mada za kuponda wanaume ndio mnapata umaarufu
[emoji23][emoji23]sawa mamaUwe unavaa boxer basi aisee. Acheni kuvaa hayo majezi yenu banaaa
Kuvaa t-shirt nyeupe ndani ni vzur kwa watu wanao toka majashoAu kavaa mtishet mweupe juu ya shart badala ya Vest hehehe...
Kama ndonga inchi 10 ipo ndani je, ni sawa?It is mnatukeraa bwana mtu mpensi mkubwaaaaa wakati cha kuficha hata hakipo
Tobaaaaaaaah hadi kiungo changu fulan cha mwili kimetekenyeka, lol [emoji2356][emoji2356]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolAu kavaa mtishet mweupe juu ya shart badala ya Vest hehehe...
Hadi jeans tena ndani? Hii kiboko lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tunaovaa vijinzi ndani tunakoment wapi?
muda mwingine hata hiyo chupi sivai