Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaaaaa......[emoji23]Usinipangie Cha kuvyaaaa tafadhali
hebu weka kapicha hapa tujiridhishe kama kweli unavaa chupi?Nivae ti
Hivi mpkaa miaka hii kuna wanawake wanavaa taiti??labda nikiwa naenda gym au kukimbiaa weeknd lakini kitu chupi babuu wewe
Wengine tunaona kuvaa chupi tu bila bukta kama tako liko waziJamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
😂😂Wewe ushawaona mabwana wangapi katika hali hiyo ya kuvaa bukta? Unaonekana kiwembe hatari
Nikivaa chupi bila pensi naona kama nipo uchi au nimevaa bikiniIt is mnatukeraa bwana mtu mpensi mkubwaaaaa wakati cha kuficha hata hakipo
🤣🤣🤣🤣🙌Mkuu Mungu anakuona,nimecheka sana dah!Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
😂😂It is mnatukeraa bwana mtu mpensi mkubwaaaaa wakati cha kuficha hata hakipo
Ndiyo Ukweli Wenyewebukta inakupa hewa kunako makende,tofauti na boxer ambazo hazitoi mwanya wa kupita hewa pia ukivaa bukta dushe linapata nafasi ya kukua na kunawili vizuri
Huyo n wakwako t bhana, pia uache kutoka na wanaume wa kakonko huko, ww unaenda mnadani unakutana na mchuuzi wa Ng'ombe ana kutongozwa na unampa, saa ngapi anunue boxer.Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako? Kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana, huo ni uchafu, usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata.